chelsea - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Cannavaro alimlilia Carlo Anzilotti

Football

Bingwa wa soka, mchezaji wa zamani na meneja wa Guangzhou Evergrande, Fabio Cannavaro anasema, yeye na wenzie walimlilia Cannavaro alipokuwa alipowaaga kuondoka. Cannavaro alijifunza kwa Anziloti akiwa Parma mwaka 1996-1998. …

“Arsenal Hawahitaji Kombe”

Football

Aliyewahi kuwa mchezaji wa Arsenal Alan Smith amesema kwa sasa Arsenal hawahitaji kushinda ubingwa, inahitaji tu mabadiliko chanya. Alan Smith amesema hayo kufuatia washika mtutu hao kuanza vibaya msimu wakiwa …

Nyanda wa Bei Mbaya!

Football

Chelsea wamekamilisha kila kitu kumnasa nyanda wa Athletic Bilbao, Kepa Arrizabalaga kwa ada ya £71m. Hii imevunja rekodi ya dunia kwa usajili wa makipa. Hawa hapa ni magolikipa 5 ghali …

PSG Wanamtazamia Kante

Football

Inadaiwa kwamba klabu ya huko Ufaransa ya Paris St-Germain ina lengo la kumnasa mchezaji kiungo wa kati wa nchini Ufaransa na Chelsea, N’Golo Kante. Wanamtaka msimu huu ambapo inasemekana kwamba …

Eriksen Anaibeba Denmark Leo

Football

Hii inakuja ikiwa ni baada ya wao kukosa kupenya mwaka 2014 ambapo sasa timu ya taifa ya Denmark inakwaana na mataifa kadhaa kuhakikisha wanafanikiwa kwenye Kombe la Dunia. Mchezaji Eriksen …

Kombe la Dunia: Kikosi cha Brazil Hiki Hapa

Football

Hiki hapa ni kikosi kamili cha Brazil kuelekea Kombe la Dunia mwaka huu kule nchini Urusi: Walinda lango: Alisson (Roma), Ederson (Manchester City), Cassio (Corinthians). Mabeki: Danilo (Manchester City), Fagner …

Willian Kunaswa na United!

Football

Inadaiwa kwamba klabu ya soka ya Manchester United imehitaji kumfanyia usajili mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya Chelsea na Brazil, Willian. Wanataka kufanya hivi mwishoni mwa msimu huu wakati …

1 2 3 181 182 183 184 185