afcon - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

FIFA Yaisimamisha Pakistani na Chad

Daily News

FIFA ilisitisha mashirikisho ya kitaifa ya mpira ya miguu ya Pakistani na Chad siku ya Jumatano kufuatia mizozo ya jinsi gani mashirikisho hayo yanapaswa kuendeshwa. Shirikisho la soka la Pakistani …

Niyonzima: Kama Tungefuzu Ningestaafu

Champions League

Kiungo wa Yanga na Timu ya Taifa ya Rwanda, Haruna Niyonzima, amesema hajafikia uamuzi wa kustaafu kuichezea Rwanda kama ambavyo vyombo mbalimbali vya habari vimekuwa vikiripoti. Niyonzima amekuwa ndani ya kikosi cha timu ya Taifa …

Saido Arejea, Tayari kuivaa KMC

Champions League

Juma Mwambusi, Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kurejea kwa Saido Ntibazonkiza kumeongeza ari ya kupambana kwa kikosi hicho ambacho kinaongoza Ligi Kuu Bara msimu wa 2020/21. Kikiwa kimecheza …

SAFA Yamtimua Kocha South Africa.

Daily News

  Shirikisho la Soka Afrika Kusini “SAFA” limeitisha mkutano wa dharura wa waandishi wa habari kufuatia kushindwa kwa timu yao ya taifa ya Bafana Bafana kufuzu AFCON 2021 na hapo …

NBA: Harden Ajipigia Chapuo na uMVP.

Basketball

Wakati ulimwengu wa soka ukiburudika kwa mashindano ya Afcon barani Afrika na World Cup Qualifiers 2022 barani Ulaya, NBA inaendelea kunogesha ulimwengu wa kikapu. Michezo kadha wa kadha imeendelea wiki …

Nigeria Yawafwata Benin kwa Boti.

Daily News

  Shirikisho la Soka la Nigeria limelazimika kuwasafirisha Wachezaji wa timu ya taifa ya ‘Super Eagles’ 🇳🇬 kwa kutumia boti kwenda Benin 🇧🇯 kwa ajili ya mchezo wa kufuzu AFCON …

Okwi Akutwa na Corona

Champions League

Emmanuel Okwi mshambuliaji wa kikosi cha Al-Ittihad ya Misri amekutwa na Virusi vya Corona hivyo atakosa mechi kadhaa ndani ya Ligi Kuu ya Misri. Raia huyo wa Uganda ambaye amecheza …

Ramadhani Kabwili, Shtuka Tuwahi Mjini

News

Kumbukumbu kubwa ilikua miaka minne iliyopita kule Gabon ambapo timu ya taifa ya vijana U17 ilipoenda kuchuana kwenye AFCON, na hapo ndipo jina la kinda huyu likaonekana. Binafsi nilivutiwa sana …

Papa Bouba Diop Afariki Dunia.

Daily News

Mchezaji wa zamani wa Fulham, Portsmouth na timu ya taifa ya Senegal – Papa Bouba Diop amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 42. Diop aliwahi kuvitumikia vilabu mbalimbali vya …

Salah Fiti Kuwavaa Atalanta.

Champions League

Mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah amerejea mazoezini kwaajili ya mchezo wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) utakaowakutanisha na Atalanta ya Italia uwanjani Anfield leo. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 …

1 2 3 16 17 18 19 20 21