This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
MUKWALA NA ATEBA KUNA JAMBO SIMBA
Mastaa wawili kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids ngoma ni nzito kutokana na kuliamsha dude kwenye eneo la ufungaji katika mechi ambazo …
YANGA WAPO FITI KILA SEHEMU
YANGA hawacheki na wowote huko ni spidi ndefu kila kona kutokana na rekodi ambazo zinaandikwa na wachezaji wao uwanjani katika eneo la kufunga na kutoa pasi za mabao, iwe wameanza …
YANGA MZIKI UMETIMIA KUIKABILI PAMBA
VINARA wa Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, Yanga Februari 28 2025 watakuwa kibaruani kusaka pointi tatu dhidi ya Pamba Jiji. Yanga baada ya mechi …
AZAM FC MAJI KUPWAA MAJI KUJAA
WAUAJI wa Kusini Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika …
YANGA IMEWAPOTEZA SIMBA
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamewapoteza watani zao wa jadi Simba kwenye eneo la ushambuliaji kwa kuwa na safu kali ya ushambuliaji ndani ya uwanja kwenye mechi …
SOWAH ATAJWA KUJIUNGA YANGA
MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Singida Black Stars kwenye mechi za ligi Jonathan Sowah raia wa Ghana inaelezwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga ambao wanahitaji kuipata …
KOCHA YANGA ANA UCHU NA USHINDI
Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi ameweka wazi kuwa kwa wanaomtambua yeye ana uchu wa ushindi kwenye kila mechi ambazo wacheza ndani ya uwanja. Baada ya kubeba mikoba ya Sead …
MOUSA CAMARA AWEKA REKODI BONGO
Mlinda mlango namba moja wa Simba, Mousa Camara ameandika rekodi yake ya kuwa namba moja kwa makipa wenye hati safi ndani ya uwanja akiwa ni chaguo la kwanza la Kocha …
Takwimu za Garnacho Man Utd Zinaonyesha Napoli Walifanya Uamuzi Sahihi wa Uhamisho
Mchezaji wa pembeni wa Manchester United, Alejandro Garnacho, ana kiwango cha chini cha kubadili nafasi kuwa magoli kuliko mchezaji yeyote mwenye nafasi 10 au zaidi kubwa za kufunga katika Ligi …
Inzaghi: “Kile Wanachofanya Inter Hakitoshi”
Simone Inzaghi anakiri kuwa Inter inahisi aibu na kutokuridhika kwa kutokuwa na uwezo wa kutumia nafasi zao katika kipigo dhidi ya Juventus, lakini zaidi ya yote, wanapaswa kuboresha michezo mikubwa. …