MUKWALA NA ATEBA KUNA JAMBO SIMBA
Daily News

Mastaa wawili kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids ngoma ni nzito kutokana na kuliamsha dude kwenye eneo la ufungaji katika mechi ambazo …

Soma zaidi
YANGA WAPO FITI KILA SEHEMU
Daily News

YANGA hawacheki na wowote huko ni spidi ndefu kila kona kutokana na rekodi ambazo zinaandikwa na wachezaji wao uwanjani katika eneo la kufunga na kutoa pasi za mabao, iwe wameanza …

Soma zaidi
YANGA MZIKI UMETIMIA KUIKABILI PAMBA
Daily News

VINARA wa Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika, Yanga Februari 28 2025 watakuwa kibaruani kusaka pointi tatu dhidi ya Pamba Jiji.   Yanga baada ya mechi …

Soma zaidi
AZAM FC MAJI KUPWAA MAJI KUJAA
Daily News

WAUAJI wa Kusini Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika …

Soma zaidi
YANGA IMEWAPOTEZA SIMBA
Daily News

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wamewapoteza watani zao wa jadi Simba kwenye eneo la ushambuliaji kwa kuwa na safu kali ya ushambuliaji ndani ya uwanja kwenye mechi …

Soma zaidi
SOWAH ATAJWA KUJIUNGA YANGA
Daily News

MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Singida Black Stars kwenye mechi za ligi Jonathan Sowah raia wa Ghana inaelezwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga ambao wanahitaji kuipata …

Soma zaidi
KOCHA YANGA ANA UCHU NA USHINDI
SOKA LA BONGO

Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi ameweka wazi kuwa kwa wanaomtambua yeye ana uchu wa ushindi kwenye kila mechi ambazo wacheza ndani ya uwanja. Baada ya kubeba mikoba ya Sead …

Soma zaidi
MOUSA CAMARA AWEKA REKODI BONGO
SOKA LA BONGO

Mlinda mlango namba moja wa Simba, Mousa Camara ameandika rekodi yake ya kuwa namba moja kwa makipa wenye hati safi ndani ya uwanja akiwa ni chaguo la kwanza la Kocha …

Soma zaidi
Takwimu za Garnacho Man Utd Zinaonyesha Napoli Walifanya Uamuzi Sahihi wa Uhamisho
Daily News

Mchezaji wa pembeni wa Manchester United, Alejandro Garnacho, ana kiwango cha chini cha kubadili nafasi kuwa magoli kuliko mchezaji yeyote mwenye nafasi 10 au zaidi kubwa za kufunga katika Ligi …

Soma zaidi
Inzaghi: “Kile Wanachofanya Inter Hakitoshi”
Serie A

Simone Inzaghi anakiri kuwa Inter inahisi aibu na kutokuridhika kwa kutokuwa na uwezo wa kutumia nafasi zao katika kipigo dhidi ya Juventus, lakini zaidi ya yote, wanapaswa kuboresha michezo mikubwa. …

Soma zaidi
1 2 3 4 5 2,154 2,155 2,156