Barcelona Wamalizana na Balde
Klabu ya Fc Barcelona imefanikiwa kumalizana na beki wake kinda Alejandro Balde mwenye umri wa miaka 19 ambapo amesaini mkataba mpya na klabu hiyo. Beki Alejandro Balde amekubali kusaini kandarasi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Fc Barcelona imefanikiwa kumalizana na beki wake kinda Alejandro Balde mwenye umri wa miaka 19 ambapo amesaini mkataba mpya na klabu hiyo. Beki Alejandro Balde amekubali kusaini kandarasi …
Cristiano Giuntoli ameondoka kwenye ziara ya Juventus ya kujiandaa na msimu mpya nchini Marekani na kuanza kufanya kazi sokoni, ikiripotiwa kuwa anaelekeza nguvu zake katika kumnunua Franck Kessie wa Barcelona. …
Vigogo wa soka kutoka nchini Hispania klabu ya Barcelona na klabu ya Real Madrid wameingia vitani kwajili ya kuinasa saini ya kinda wa kimataifa wa Uturuki fundi Arda Guler. Kinda …
Kaka yake Sofyan Amrabat amethibitoisha kiungo huyo wa Fiorentina anataka kwenda kucheza Uhispania katika klabu ya Barcelona, lakini matatizo ya kifedha ya klabu hiyo bado ni changamoto. Mchezaji huyo …
Kocha wa Barcelona Xavi anasisitiza kwamba wachezaji na makocha lazima waongoze kwa mfano na anatumai hakutawahi kuwa kama José Mourinho baada ya Fainali ya Ligi ya Europa Jumatano dhidi ya …
Kiungo wa kimataifa wa Ureno Ruben Neves anatarjiwa kujiunga na klabu ya Barcelona katika majira haya ya joto baada ya kumaliza msimu na klabu yake ya Wolverhampton inayoshiriki ligi kuu …
Barcelona imefanikiwa kupata taji lao la kwanza la LaLiga tangu 2019 baada ya kuwafunga wapinzani wao wa jiji la Espanyol kwa mabao 4-2. Sherehe hizo zilikatizwa, hata hivyo, wakati …
Klabu ya Barcelona inahitaji alama tatu tu kutawazwa kua mabingwa wa ligi kuu ya Hispania La Liga kwa mwaka 2023 na kuwavua ubingwa mahasimu wao klabu ya Real Madrid ambao …
Kocha mkuu wa Barcelona Xavi ameshangazwa na swali kuhusu Lionel Messi na Bruce Springsteen siku ya Ijumaa, lakini akasema klabu hiyo itajadili uwezekano wa kumnunua Messi mara tu watakaposhinda taji. …
Xavi amesema hakuwezi kuwa na visingizio kwa kichapo cha Barcelona cha 2-1 dhidi ya Rayo Vallecano, ambacho kiliwafanya Blaugrana kukosa nafasi ya kusonga mbele kwa pointi 14 kileleni mwa LaLiga. …
Barcelona hatimaye wamepata ufadhili wa kuirejesha Camp Nou na maeneo jirani. Klabu hiyo hapo awali ilitangaza mipango ya ukarabati mwaka 2014 lakini matatizo mengi tangu wakati huo yamesababisha sehemu ndogo …
Xavi Hernandez amekiri kuwa Barcelona wako katika “hali nzuri sana” kwenye kilele cha LaLiga lakini aliumia saba hapo jana baada ya timu yake kukosa nafasi za mabao dhidi ya Girona …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kua yeye hawezi kuja kufundisha klabu ya Barcelona kwenye maisha yake kwakua kocha huyo anasema anapendwa ndani ya klabu hiyo. Kocha …
Rais wa UEFA Aleksander Ceferin alitaja kashfa ya waamuzi iliyohusisha Barcelona kama moja ya hali “nzito zaidi” ambayo amewahi kuona. Vinara hao wa LaLiga wanakabiliwa na uchunguzi wa UEFA …
Barcelona wamemtaka rais wa LaLiga Javier Tebas ajiuzulu baada ya kudaiwa kutoa ushahidi wa uongo dhidi yao. La Vanguardia iliripoti jana kwamba Tebas alitoa hati kwa waendesha mashtaka ambao …
Gerard Pique amewaonya Barcelona kwamba kumlazimisha Lionel Messi kurejea Camp Nou kunaweza “kusizae matunda”. Messi anakaribia mwisho wa mkataba wake wa miaka miwili na Paris Saint-Germain, baada ya kujiunga …
Kulingana na wakala wa Ilkay Gundogan anasema kuwa mustakabali wake bado “wazi” licha ya ripoti kupendekeza kiungo huyo wa Manchester City anataka kujiunga na Barcelona baada ya kumalizika kwa mkataba …
Rais wa Barcelona Joan Laporta anaamini kuwa njama ndio chanzo cha madai ambayo klabu hiyo inakabiliana nayo kuhusu malipo kwa kampuni inayomilikiwa na mwamuzi mkuu wa zamani. Malalamiko ya …
Kiungo wa klabu ya Barcelona Sergio Busquets anatarajiwa kubaki ndani ya klabu hiyo kutokana na mazungumzo ambayo yanaendelea baina ya kiungo huyo na klabu yake ya Barcelona. Taarifa zinaeleza kua …
Klabu ya Liverpool itashuka dimbani leo kumenyana na klabu ya Real Madrid katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya 16 bora ili kuhakikisha wanaweza kupindua matokeo baada …