Joan Laporta: Barcelona Tunararudi
Rais wa klabu ya Barcelona Joan Laporta amesisitiza kuwa klabu yake yake inarudi kwenye kufanya usajiri wa wachezaji wakubwa baada ya kumtambulisha mchezaji mpya waliomsajiri kutokea klabu ya Man city …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Rais wa klabu ya Barcelona Joan Laporta amesisitiza kuwa klabu yake yake inarudi kwenye kufanya usajiri wa wachezaji wakubwa baada ya kumtambulisha mchezaji mpya waliomsajiri kutokea klabu ya Man city …
Barcelona wamekamilisha usajiri wa winger Ferran Torres kutoka Manchester City ambapo leo ndio ametangazwa rasmi kuwa mchezaji wa barcelona mpaka mwaka 2027. Barcelona wamemsainisha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka …
Veterani Dani Alves anatarajiwa kurejea tena dimbani kuwachezea Barcelona kwa mara nyingine wiki hii. Alves alirejea Barcelona mwezi uliopita, baada ya kumaliza mda wake huko Brazil. Hata hivyo, alilazimika kukaa …
Meneja wa Barcelona Xavi Hernandez na mlinzi anayerejea, Dani Alves wanakubaliana na uhalisia kuwa Ousmane Dembele ni mchezaji muhimu na wa pekee Barcelona. Barcelona inaendelea na mazungumzo juu ya mkataba …
Dani Alves leo amewastaajabisha watu baada ya kuingia na ndala kwenye utambulisho wake kwenye dimba la Camp Nuo. Mlinzi huyo wa Brazili leo alitambulisha rasmi na kusaini makubaliano ambayo yatamuweka …
Baada ya miaka mitano kupita tangu aondoke hatimaye Dani Alves amerejea katika klabu ya Barcelona kwa mara nyingine kwa uhamisho huru. Beki huyo wa kulia (38) ataanza mazoezi na timu …
Licha ya kusainiwa Barcelona msimu huu wa joto kutoka Real Betis, Emerson Royal aliachana na Blaugrana siku ya mwisho na kujiunga na Tottenham Hotspur. Beki huyo wa kulia mwenye umri …
Mwaka 2019, Dani Alves aliweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya soka kufikisha mataji 40👑🏆. Alves ameweka historia hiyo na kumfanya kuwapiku wakongwe wote wa zamani katika …
Sasa zimesalia gemu 6 tu kumalizika kwa msimu wa LaLiga. Barcelona wapo nafasi ya 2, wakiwa na pointi 2 tu pungufu ya washindani wao Real Madrid. Barcelona wanaenda dimbani katika …
Nyota wa Brazilna PSG Dani Alves ametangaza rasmi kuwa huu ni wakati wa yeye kusepa Paris Saint Germain -PSG akiwa tayari alishaanza kuhusishwa na mabingwa wa Hispania Barcelona. Nyota huyu …
Mwalimu wa timu ya taifa ya Brazil Adenor Leonardo Bacchi maarufu kama Tite ametangaza kikosi chake kitakachoenda kupeperusha bendera ya taifa hilo kwenye michuano ya kombe la dunia. Jana majira …
Tottenham wamekasirishwa na kitendo cha kibaguzi alichofanyiwa mchezaji wao Richarlison wakati yupo katika majukumu ya kulitumikia taifa lake la Brazil. KLabu ya Tottenham imeonesha kuchukizwa na kitendo akichofanyiwa mchezaji wao …
Mara ya mwisho Gerard Pique alipoondoka Barcelona alirejea miaka minne baadaye na kujiweka kama beki bora wa kati katika historia ya klabu hiyo. Video ya kuaga aliyoichapisha kwenye mitandao ya …
Ni jambo lisilopingika kuwa mpira kwa sasa ni biashara inayolipa Zaidi kwenye timu kama Benfica, FC Porto, Ajax kwani ni mchezo unaokusanya watu wengi kwa wakati mmoja hii kwa upande …
Mchezaji mpya wa klabu ya Barcelona Ferran Torres ametajwa kwenye kikosi ambacho kitachuana na Real Madrid usiku wa leo kwenye mchezo wa nusu fainali ya Supercopa de Espana nchini Saudi …
Kocha wa timu ya Barcelona Xavi Hernandez amesema hajazungumza na Philippe Coutinho kuhusu uhamisho wa dirisha la usajiri mwezi huu januari. Philippe Coutinho anatarajia kuondoka kwenye dirisha la usajiri mwezi …
Kocha wa klabu ya Aston Villa Steven Gerrard yupo kwenye mazungumzo na klabu ya Barcelona ili kuweza kumchukua kiungo Philippe Coutinho kwa mkopo wa miezi sita. Philippe Coutinho ameshawai kucheza …
Kocha mkuu wa timu ya Barcelona Xavi Hernandez ameshangazwa na chama cha soka nchini humo La Liga kwa kutokualishwa kwa mchezo wao leo dhidi ya Mallorca, Barcelona itawakaosa wachezaji wake …
Kocha mkuu wa Barcelona Xavi Hernandez anataka kukijenga upya kikosi chake baada ya kuchaguliwa rasmi kuwa kocha wa mkuu mapema hii kufuatia kutimuliwa kwa aliyekuwa kocha mkuu wa The Blaugrana …
Maelfu ya mashabiki walifika katika uwanja wa Camp Nou kwaajili ya kumkaribisha Xavi Hernandez kama kocha mkuu wa Barcelona siku ya Jumatatu huku wakiwa na matumain Xavi anaweza kuwarejeshea furaha …