Lewandowski Hakamatiki ndani ya La liga.
Mchezaji Roberto Lewandowski wa klabu ya Fc Barcelona ameendelea kudhihirisha ubora wake kila uchawao kunako ligi kuu ya Hispania maarufu kama La liga. Mchezaji huyo ambae amejiunga na klabu hiyo …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mchezaji Roberto Lewandowski wa klabu ya Fc Barcelona ameendelea kudhihirisha ubora wake kila uchawao kunako ligi kuu ya Hispania maarufu kama La liga. Mchezaji huyo ambae amejiunga na klabu hiyo …
Manuel Neuer golikipa na nahodha wa klabu ya Fc Bayern ya nchini Ujerumani amesema wana bahati sana kutokufungwa na nyota wa zamani wa klabu hiyo Roberto Lewandowski aliehamia kwa miamba …
Mshambuliaji wa timu ya Barcelona Robert Lewandowski amepiga hattrick yake ya kwanza akiwa Nou Camp huku akiwa ndio mchezaji wa kwanza kupiga hattrick katika michuano ya klabu bingwa barani Ulaya. …
Roberto Lewandowski mshambuliaji wa klabu ya Fc Barcelona ya nchini Hispania ameendelea kufunga kama anavyotaka ndani ya klabu yake hiyo mpya. Lewandowski amefanikiwa kufunga magoli matano kwenye mechi nne alizocheza …
Klabu ya Barcelona imembadilishia namba mchezaji wake mpya aliyesajiriwa akitokea Bayern Munich Robert Lewandowski kutoka namba 21 ambayo alikuwa anavaa kwenye michezo ya Pre-seaosn na kupewa jersey namba 9. Jersy …
Robert Lewandowski anajiandaa kusaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Barcelona kwa dau linaloelezwa kufika euro milioni 50. Uvumi wa kwamba Lewandowski atajiunga na Barca ulianza kabla hata ya …
Klabu ya Liverpool imeikataa ofa ya pili ya pauni milioni 30 iliyotolewa na Bayern Munich kwa Sadio Mane wakidai kwamba dau hilo halitoshi. The Reds wameshangaa baada ya klabu hiyo …
Robert Lewandowski amekuwa sikio la kufa juu ya kubadili mawazo yake ya kutaka kuondoka Bayern Munich msimu huu wa joto. Inaonekana kuwa Barcelona ndiyo sehemu anayopanga kwenda kwa sasa ikiwa …
Ulimwengu wa soka la kisasa umegubikwa na mvutano wa nguvu kati ya klabu na mchezaji. Hili linaonekana kwa Robert Lewandowski msimu huu. Ni dhahiri, Lewandowski hataki kuendelea kuitumikia Bayern Munich …
Licha ya mshambuliaji wa Buyern Munich Robertal Lewandowski mkataba wake kukaribia kufika mwisho ndani ya kikosi hicho na kuonesha ni ya kutaka kuondoka, Bayern wameonekana kutojali kama wanaweza kumpoteza mchezaji …
Nyota wa Bayern Munich Robert Lewandowski amethibitisha nia yake ya kuondoka klabuni hapo msimu huu wa joto. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Poland amekuwa kwenye vichwa vya habari za uhamisho …
Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Bayern Munich Hasan Salihamidzic amesisitiza kwamba mshambuliaji Robert Lewandowski hatouzwa mwisho wa msimu huu na wataanza kufanya mazungumzo ya mktaba mpya hivi karibuni. Mkataba …
Klabu ya Bayern Munich imefanikiwa kutwaa taji lao la 10 mfululizo la Bundesliga zikiwa zimesalia mechi tatu baada ya kuifunga Borussia Dortmund kwa mabao 3-1 katika dimba la Allianz Arena …
Bayern Munich tayari wamepanga bei yao kwa Robert Lewandowski, hii ni kwa mujibu wa Kicker kupitia Mundo Deportivo. Wanadai kuwa klabu hiyo ya Bavaria inataka ada isiyopungua €40m kwa mshambuliaji …
Klabu ya Barcelona imeripotiwa kufanya makubaliano ya kumsaini mshambuliaji hatari kutoka nchini Poland anayekipiga kwenye klabu ya Bayern Munich Robert Lewandowski kwenye majira ya kiangazi. Vyombo mbali mbali vya nchini …
Mkurugenzi Mtendaji wa Bayern Munich Oliver Kahn amethibitisha kwamba wababe hao wa Bavaria hawatakuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania saini ya Erling Haaland mwaka ujao. Mabingwa hao wa Bundesliga ni moja …
Robert Lewandowski ameweka rekodi mpya kwenye ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga kwa msimu mmoja wa 2020/21 baada ya kufunga magoli 41 kwa msimu na kuipita rekodi ya mkongwe Gerd Müller …
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Robert Lewandowski ni mshambuliaji wa aina yake, rekodi zake zinajieleza ndani ya uwanja. Mchezo wa Bundesliga kati ya Bayern Munich vs Stuttgart, umempatia fursa Lewandowski …
Mshambuliaji wa PSG Lionel Messi aliibuka na ushindi wa tuzo ya Ballon d’Or ya mwaka 2021 na kumpiku straika wa Bayern Munich Robert Lewandowski ambaye alishika nafasi ya pili kwenye …
Thomas Mueller alisema mchezaji mwenzie wa Bayern Munich Robert Lewandowski ni lazima ashinde tuzo ya Ballon d’Or siku ya jumatatu ambapo tuzo hizo zitakapo tangazwa. Lewandowski anamatumaini makubwa ya kupata …