Alama 47 Za Steph Curry Zashindwa Kuikoa Warriors!
Katika NBA hapo jana, Steph Curry alishindwa kuiokoa timu yake kuepuka kichapo cha 119 – 114 baada ya vita kali yake na Jason Tatim. Hayo yalitokea katika mechi ya kukata …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Katika NBA hapo jana, Steph Curry alishindwa kuiokoa timu yake kuepuka kichapo cha 119 – 114 baada ya vita kali yake na Jason Tatim. Hayo yalitokea katika mechi ya kukata …
Burudani ya ligi ya NBA mara zote inaendana na kufikiwa/kuwekwa au kuvunjwa kwa rekodi kadha wa kadha. Jumatatu hii, Stephen Curry ameweka rekodi ndani ya timu yao ya Golden State …
Ni mwendo wa vipigo na vicheko kunako Ligi ya NBA nchini Marekani. Rekodi zinawekwa na kuvunjwa kila iitwapo leo. 2020/21 hakika mambo ni moto! Licha ya Golden State Warriors kutokuwa …
Hali sio shwari kwenye timu ya Golden State Warriors msimu huu kunako NBA. Idadi ya michezo wanayopoteza inazidi idadi ya michezo wanayoshinda, kulikoni?? Usiku wa kuamkia leo, Warriors walikuwa uwanjani …
Kunako muendelezo wa NBA, Milwaukee Bucks wamejinasua kwenye msururu wa vipigo vitatu mfululizo kwenye mchezo dhidi ya LA Lakers. The Bucks walikuwa uwanjani kuchuana na Lakers usiku wa kuamkia leo …
Mchezaji nyota wa timu ya Brooklyn Nets – Kevin Durant [KD] ameripotiwa kuendelea kukaa nje ya uwanja kutokana na majeruhi. KD hajarejea uwanjani tangu alipocheza dhidi ya Golden State Warriors …
Mchezaji wa Milwaukee Bucks – Giannis Antetokounmpo amerejea kwenye vichwa vya habari baada ya kuwaangusha vigogo wa NBA kwenye mchezo dhidi ya LA Clippers. Bucks walikuwa uwanjani Jumapili usiku kupambana …
Kunako muendelezo wa NBA, timu ya Miami Heats imewaadhibu vinara wa Western Conference – Utah Jazz. Jazz ambaye anatamba kwa ushindi wa michezo 22 kati ya 24, wamejikuta wakiangukia pua …
Kama ilivyo kwa Liverpool kwenye EPL. Kunako NBA, LA Lakers hali sio shwari kutokana na muenendo mbaya wa matokeo kwa siku za karibuni. Lakers walikuwa uwanjani kupambana na vinara Uttah …
Hakika NBA msimu huu mambo ni moto! Sio kwenye Eastern wala sio Western Conference, kote mambo ni mazito. Utah Jazz na LA Lakers, vita ya kusaka ubingwa inaendelea kuwa ya …
Timu ya kikapu inayocheza ligi ya NBA, Utah Jazz, wameendelea kuwa bora kwa kuweka rekodi waliyokuwa nayo 1996/97. Jazz walikuwa uwanjani kupambana na Boston Celtics katika mchezo walioshinda kwa pointi …
Katika muendelezo wa michezo ya NBA 2020/21. Milwaukee Bucks na Dallas Mavericks, wametoka kimasomaso katika michezo yao waliyocheza usiku wa kuamkia leo. Bucks wakiongozwa na Giannis Atentokounmpo, waliwalaza Indiana Pacers …
Katika muendelezo wa NBA 2020/21, timu ya LA Lakers inawasiwasi na uwepo wa nyota wake, LeBron James na Anthony Davis kwenye mchezo wa leo (Jumatatu). LeBron na Davis wote wanamajeruhi …
Michezo kadhaa ya NBA imeendelea usiku wa kuamkia leo ambapo Mabingwa watetezi, LA Lakers, wamejikuta wakiotolewa umaarufu kwa kupoteza mchezo dhidi ya Tha Philadelphia 76ers. Lakers walikuwa na rekodi ya …
Muendelezo wa michezo ya NBA 2020/21 ni burudani inayopambwa na rekodi zinazowekwa na zingine zinavunjwa. Wapo wanaopanda na wapo wanaoshuka. LA Lakers, Milwaukee Bucks, Brooklyn Nets, Boston Celtics ni miongoni …
Mchezaji wa timu ya Minnesota Timberwolves kunako ligi ya NBA – Karl- Anthony Town, amenukuliwa akisema “sitoishia kwenye box” baada ya kukutwa na COVID19. Mwaka jana, Town alipoteza wanafamilia wenzake …
LA Lakers na Golden State Warriors wamewalaza na viatu Chicago Bulls na LA Clippers kwenye muendelezo wa NBA. Lakers walikuwa uwanjani wakichuana na Chicago Bulls katika mchezo uliomalizika kwa ushindi …
Mambo yametaradadi kunako NBA msimu huu. Stephen Curry na LeBron James kwao ni ushindi tu! Golden State Warriors walikuwa uwanjani wikiendi hii kupambana na Portland Trail Blazers. Huu ni mchezo …
La Lakers wameondoka na ushindi kwa mara ya pili mfululizo wakati ambapo Milwaukee Bucks wamewagaragaza Chicago Bulls usiku wa kuamkia leo. Lakers walikuwa uwanjani kuchuana na San Antonio Spurs ambapo …
Usiku wa kuamkia leo, michezo kadhaa ya NBA 2020/21 imechezwa. LeBron James, Kevin Durant na Khris Middleton wanaendelea kung’ara msimu huu. LeBron James ameendelea kufanya vizuri kwenye michezo yote aliyoicheza …