Uchambuzi EPL: Chelsea vs Crystal Palace
Wakiwa wametoka kushinda ubingwa wa UEFA Super Cup, Chelsea wanaanza kampeni ya Premier League 2021-22 kwa mchezo wa nyumbani dhidi Crystal Palace leo majira ya saa 11:00 jioni. The Blues …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Wakiwa wametoka kushinda ubingwa wa UEFA Super Cup, Chelsea wanaanza kampeni ya Premier League 2021-22 kwa mchezo wa nyumbani dhidi Crystal Palace leo majira ya saa 11:00 jioni. The Blues …
Mabingwa wa Ligi ya Mabingwa, Chelsea wanapambania kuipata saini ya beki wa Inter Milan – Achraf Hakimi. Licha ya PSG kumwaga mpunga mrefu wa takribani pauni milioni 56.5, inaripotiwa kuwa …
Klabu ya Chelsea imetoa ofa sawa na ile ya Paris Saint-Germain ya pauni milioni 56.1m (€ 60m) kwa beki wa pembeni wa Inter Milan Achraf Hakimi. Majarida mbalimbali …
Andreas Christensen bado hajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba na Chelsea lakini mlinzi huyo hajaifanya siri hamu yake ya kutaka kuendelea kubaki Stamford Bridge. Mchcezaji huyo miaka 25 amekuwa katika vipaumbele …
Andreas Christensen huenda akarudi Chelsea baada ya kukosekana kwenye mechi tatu kwa sababu ya jeraha la misuli. Thiago Silva anaweza kupumzika, na kocha mkuu Thomas Tuchel akiwa na wasiwasi juu …
Meneja wa Chelsea, Thomas Tuchel amedhibitisha kukosekana kwa Mateo Kovacic na Andreas Christensen katika ya nusu fainali ya Kombe la FA huko Wembley dhidi ya Manchester City Leo jioni. …
Meneja wa Chelsea, Thomas Tuchel amechaguliwa tena kuwania tuzo za mwezi March kwa mara ya pili mfululizo baada ya meneja wa Manchester City, Pep Guardiola kutwaa tuzo hiyo mwezi …
Huku Ratiba ya EPL ikionyesha zimebaki mechi 4 tu msimu kumalizika, Chelsea hadi sasa wamekaa nafasi ya 3 alama mbili tu mbele ya Manchester United iliyopo nafasi ya tano, pambano …
Tetesi zinasema, Paris St-Germain wanafanya mazungumzo na kiungo wa kati wa Ufaransa Paul Pogba, 28, na kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast Franck Kessie, 25, kutoka Manchester United na …
Mchezo kati ya Leicester City dhidi ya Burnley wa Premier League uliyopangwa kuchezwa siku ya Jumamosi umehairishwa kutokana na timu ya Burnley kuwa na idadi kubwa ya wachezaji ambao wanaugua …
Klabu ya Barcelona wamekamilisha usajiri wa Jules Kounde na sasa wanaweza kumtumia kwenye michezo ya La liga baada ya chama cha soka nchini humo kuthibitisha kutumika kwake kwenye msimu wa …
Kocha wa klabu ya Chelsea Thomas Tuchel hana haraka ya kurudi tena sokoni ili kuimarisha kikosi chake kwa kuingiza maingizo mapya ya wachezaji ili kuimarisha kikosi hicho kilichopoteza kwenye mchezo …
Klabu ya Barcelona inampango wa kuwaacha wachezaji wake wawili ambao wamewasijiri kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi ambao ni Andreas Christensen na Franck Kessie bila ya kucheza mchezo wowote kwenye …
Barcelona imekuwa na wakati mzuri kwenye dirisha ka usajiri majira haya ya kiangazi ambapo wamefanikiwa kusajiri majina makubwa kama Robert Lewandowski, Raphinha, Franck Kessie na Andreas Christensen mpaka sasa. Wakati …
Baada ya Christiano Ronaldo kuomba kuondoka Manchester United basi kumekuwa na uvumi kwamba anaweza kujiunga na klabu ya Chelsea kutokana na tajiri mpya wa klabu kuvutiwa kufanya usajili wa mshambuliaji …
Tetesi zinasema, Mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku hana nia ya kujiunga na AC Milan ama Newcastle msimu huu wa joto, licha ya mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 28-kuendelea kukosa …
Tetesi zinasema, Mshambuliaji wa Manchester United na Ureno Cristiano Ronaldo, 37, amefanya mazungumzo na wakala wake Jorge Mendes kuhusu hatma yake Old Trafford. Tetesi zinasema, Mshambuliaji wa Bayern Munich …
Kocha wa klabu ya Chelsea Thomas Tuchel amekubali kuwa ana wasiwasi wa kuwapoteza nyota wake baada ya mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovich kuiweka sokoni klabu hiyo. Roman Abramovich alithibitisha …
Tetesi zinasema, Meneja wa Real Madrid Muitaliano Carlo Ancelotti, 62, ameibuka kuwa mgombea anayewania kuwa meneja mpya ajaye wa Manchester United. Kiungo wa Colombia aliyewahi kuichezea, Everton James Rodriguez, …
Tetesi zinasema, Inter Miami itapambana kumsajili mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi kama nyota huyo mwenye miaka 34 ataamua kuondoka Paris St-Germain, anasema mmiliki mwenza wa klabu hiyo ya ligi …