Eriksen Amerejea Rasmi
Kiungo wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Denmark Christian Eriksen amerejea rasmi ndani ya klabu hiyo baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu. Eriksen amekaa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kiungo wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Denmark Christian Eriksen amerejea rasmi ndani ya klabu hiyo baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu. Eriksen amekaa …
Kiungo wa klabu ya Manchester United Christian Eriksen yuko mbioni kurejea dimbani kunako klabu hiyo baada ya kupata majeraha katika mchezo wa kombe la FA mapema mwezi wa kwanza. Eriksen …
Kocha mkuu wa Manchester United, Erick Ten Hag amesema kuwa Christian Eriksen anatarajiwa kurejea kutoka kwa jeraha la muda mrefu la kifundo cha mguu mwezi ujao. Eriksen alipata jeraha …
Kiungo wa klabu ya Manchester United Christian Eriksen kurejea tena klabuni hapo ndani ya msimu huu baada ya kupata majeraha kwa mujibu wa kocha wa klabu hiyo Erik Ten Hag. …
Kiungo wa klabu ya Manchester Christian Eriksen imeripotiwa anaweza kuwepo nje ya uwanja mpaka mwishoni mwa mwezi wa nne au mpaka mwezi wa tano mwanzoni. Kiungo Eriksen ambaye alipata majeraha …
Taarifa zinaeleza kua klabu ya Manchester United inafikiria kuingia sokoni kutafuta kiungo kutokana na majeraha ambayo amepata kiungo fundi Christian Eriksen katika mchezo wao dhidi ya Reading. Manchester United ilikua …
Christian Eriksen amesema kuwa wachezaji wa Manchester United lazima wathibitishe kuwa wanastahili medali ya fedha huku wakiendelea kumenyana katika safu nyingi chini ya Erik ten Hag. The Red Devils …
Christian Eriksen amefanikiwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa tisa ndani ya klabu ya Manchester United na kuwashinda wachezaji wenzake kama Raphael Varane pamoja na Jadon Sancho. Nyota …
Christian Eriksen anakiri kuwa ni jambo la kupendeza kulinganishwa na gwiji wa Manchester United Paul Scholes lakini, anasisitiza pia anataka kutengeza jina lake mwenyewe Old Trafford. Kiungo huyo wa kati …
Eriksen kiungo wa klabu ya Manchester united anaamini klabu hiyo ipo kwenye njia nzuri na kusifu viungo wenzake kwenye timu hiyo. Kiungo huyo ambaye alipata tatizo la moyo mwaka 2021 …
Kiungo mshambuliaji Raia wa Denmark ambaye anakipiga katika klabu ya Manchester United Christian Eriksen, ameonesha takwimu nzuri na kuvutia zaidi kutokana na uwezo wake wa kukimbia umbali mrefu kwa muda …
Mshambuliaji wa Wigan Charlie Wyke mwenye umri wa miaka 29 alianguka wakati wa mazoezi ambapo moyo wake uliacha kupiga kwa dakika nne mwezi Novemba. Charlie amewekewa kifaa cha kusaidia mapigo …
Kocha wa timu ya Tottenham spurs Antonio Conte amekubali kua atakuwa na furaha kumuona mchezaji wa timu ya Brentford Christian Eriksen wikiendi hii kwenye mchezo wa kufa na kupona rimu …
Christian Eriksen ameitwa tena katika kikosi cha timu ya taifa ya Denmark kwa mara ya kwanza tangu alipota tatizo la moyo mwaka jana wakati wa mashindano ya Euro 2020. Denmark …
Kiungo wa Denmark, Christian Eriksen amefunguka kuhusu hofu yake kubwa ya kiafya kwenye michuano ya Euro 2020 na kurejea Ligi Kuu akiwa na The Bees, Brentford. Eriksen hajacheza …
Christian Eriksen amesisitiza kuwa hakuna kitu cha kumzui kururudi kwenye ubora wake hata baada ya kupata matatizo ya moyo aliyoyapata kwenye mashindano ya Euro lakini hayata mzuia kurudi kwenye ubora …
Klabu ya Brentford imempa dili ya mkataba mpaka mwisho wa msimu mchezaji Christian Eriksen ambaye alikuwa ni mchezaji wa Inter Milan siku ya Jumatatu ambapo ndiyo mwisho wa usajili wa …
Klabu ya Brentford ipo mbioni kumrejesha Christian Eriksen kwenye soka la Uingereza. Namba 10 ya uhakika itatua EPL? Eriksen anaweza kurejea Uingereza kwa mara nyingine baada ya kuondoka mwaka 2020 …
Jina Christian Eriksen bado halijapotea kwenye uso wa wanamichezo. Uwezo wake katika safu ya kiungo ushambuliaji, ni alama ya ubora wake uwanjani. Eriksen alipata tatizo la moyo wakati akiitumikia timu …
Klabu ya Inter Milan imethibitisha kuachana na aliyekuwa mchezaji wa klabu hiyo, Christian Eriksen. Haya ni maridhiano baina ya pande zinazohusika. Eriksen amekuwa nje ya uwanja kwa muda toka alipopata …