Tottenham Yamuongezea Mkataba Udogie
Klabu ya Tottenham Hotspurs imefikia makubaliano ya kumuongezea mkataba beki wake wa kushoto raia wa kimataifa wa Italia Destiny Udogie baada ya mazungumzo ya muda mrefu baina ya klabu na …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Tottenham Hotspurs imefikia makubaliano ya kumuongezea mkataba beki wake wa kushoto raia wa kimataifa wa Italia Destiny Udogie baada ya mazungumzo ya muda mrefu baina ya klabu na …
Kiungo wa kati wa zamani wa Juventus Rodrigo Bentancur amepata jeraha lingine baya, jambo linalomaanisha kuwa Tottenham Hotspur wana uwezekano mdogo wa kumuuza Pierre-Emil Hojbjerg kwa Bianconeri mwezi Januari. …
Klabu ya Tottenham imeweka wazi haina mpango wa kumuachia kiungo wake raia wa kimataifa wa Denmark Pierre Emile Hojbjerb ambaye amekua akifukuziwa na vilabu mbalimbali. Vilabu mbalimbali vimekua vikifukuzia huduma …
Klabu ya Aston Villa imefanikiwa kuifunga klabu ya Tottenham Hotspurs kwenye mchezo wa ligi kuu ya Uingereza ambao umepigwa jioni ya leo. Aston Villa chini ya kocha Unai Emery imeendeleza …
Bologna wanatazamia kuimarisha safu yao ya mbele katika dirisha la usajili la Januari na wameelekeza macho yao kwa mshambuliaji wa Tottenham Alejo Veliz. The Rossoblu wamekuwa katika kiwango cha …
Klabu ya Tottenham imekubali kichapo kwenye mechi ya pili mfululizo msimu huu baada ya kupoteza Jumatatu dhidi ya Chelsea leo wamekubali kichapo tena mbele ya Wolves. Klabu ya Wolves wakiwa …
Klabu ya Tottenham Hotspurs ambao wameanza vizuri msimu wamekumbwa na wimbi la majeraha baada ya mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya klabu ya Chelsea. Tottenham walipokea kichapo cha …
Klabu ya Tottenham Hot Spurs imerejea kileleni kwenye msimamo wa EPL baada ya kushinda mchezo wao jana dhidi ya Fulham. James Maddison alimsifu kocha wa Tottenham Ange Postecoglou baada …
Jose Mourinho na Roma wanatazamia tena kuelekea Ligi kuu EPL kwa ajili ya kuimarika, huku Eric Dier akikaribia miezi ya mwisho ya mkataba wake na Tottenham Hotspur. Beki huyo mwenye …
Klabu ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kushinda mchezo wao mchana huu kwa bao moja kwa bila dhidi ya Lutton Town. …
Jose Mourinho anatarajia Roma kusajili beki mpya mwezi Januari na anaripotiwa kutaka kufanya kazi na Eric Dier wa Tottenham. The Giallorossi wako katika hatari ya kutumbukia kwenye mzozo kwenye …
Mwenyekiti wa klabu ya Tottenham Hotspurs Daniel Levy ameweka wazi kua ikitokea aliyekua mshambuliaji wao Harry Kane akarejea katika ligi kuu ya Uingereza siku moja basi wanaweza kumsaini tena. Bosi …
Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs Ange Postecoglou amesema usajili wa kiungo wa kimataifa wa Uingereza James Maddison ulifanyika kwa wakati sahihi katika dirisha lililopita. Kocha Ange amesema alimuona mchezaji …
Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs Ange Postecoglou amesema asingependa kukabiliana na beki wa timu raia wa kimataifa wa Argentina Cristian Romero akiwa timu tofauti. Kocha huyo wa Tottenham amesema …
Inter bado wanatafuta kusajili kiungo mpya wa kati na wameripotiwa kuelekeza macho yao kwa Tanguy Ndombele wa Tottenham. Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 26 hajajumuishwa kwenye kikosi cha …
Lazio wamerejea katika mazungumzo na Tottenham Hotspur kwa ajili ya kumnunua mlinda mlango Hugo Lloris, kwa mujibu wa Sky Sport Italia, ingawa kuna vikwazo kadhaa vya kupitia. Biancocelesti walianza …
Tottenham wameripotiwa kuwa kwenye majadiliano ya kutaka kumleta Romelu Lukaku Kaskazini mwa London baada ya kumpoteza Harry Kane kwenda Bayern Munich, jambo ambalo si habari njema kwa Juventus na matumaini …
Klabu ya Tottenham Hotspurs imeanza na sare ya mabao mawili katika mchezo wao wa kwanza katika ligi kuu ya Uingereza dhidi ya klabu ya Brentford katika mchezo uliopigwa katika dimba …
Juventus wamepoteza timu inayetarajiwa kumnunua Dusan Vlahovic baada ya Bayern Munich kuripotiwa kufikia makubaliano na Tottenham kwa ajili ya Harry Kane. The Bianconeri wamekuwa wakitafuta kumhamisha mshambuliaji huyo wa …
Klabu ya Tottenham Hotspurs ipo mbioni kumalizana na klabu ya Wolfsburg ya nchini Ujerumani kwajili ya kupata saini ya beki wa klabu hiyo Micky van de Ven. Klabu ya Tottenham …