AFCON 2021: Okoye na Iwobi Watishiwa Kuuwawa
AFCON 2021, wachezaji wa timu ya taifa ya Nigeria Maduka Okoye ambaye ni golikipa na kiungo Alex Iwobi wametishiwa kuuwawa baada ya timu yao ya taifa kuondolea kwenye mashindano na …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
AFCON 2021, wachezaji wa timu ya taifa ya Nigeria Maduka Okoye ambaye ni golikipa na kiungo Alex Iwobi wametishiwa kuuwawa baada ya timu yao ya taifa kuondolea kwenye mashindano na …
Kocha wa muda wa timu ya Taifa ya Nigeria, Augustine Eguavoen ameandika barua rasmi ya kujiuzulu mara moja nafasi ya Ukocha Super Eagles baada ya kuondoshwa Jana dhidi ya …
Bingwa mara saba wa taji la soka kwa mataifa ya Afrika AFCON, Misri imefuzu katika hatua ya 16 bora, kutafuta ubingwa wa mwaka huu, baada ya kuishinda jirani zao …
Mambo yanazidi kubadilika kuelekea hatua ya 16 bora. Bingwa mtetezi wa AFCON, Algeria sasa ni rasmi ameyaaga mashindano. Kwa namna ya kipekee na kustaajabisha, Algeria wanaishia hatua ya makundi kunako …
Timu ya Taifa ya Ghana ( Black Stars ) imeondolewa rasmi kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2021 na timu ya taifa ya Comoros katika mchezo …
Nigeria imepata nafasi ya kufuzu katika hatua inayofuata ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika inayoendelea nchini Cameroon. Super Eagles waliilaza Sudan 3-1 Jumamosi na sasa wanaongoza Kundi D. …
AFCON, kwenye mchezo kati ya Tunisia na Mali referee amemaliza mpira sekunde kumi kabla ya dakika tisini kufika na kusababisha kuleta sintofahamu kwa wachezaji na Tunisia ambao walikuwa nyuma kwa …
Golikipa wa timu ya Chelsea Edouard Mendy ni miongoni mwa wachezaji wa timu ya taifa ya Senegal ambao wamekutwa na maambukizi ya UvIko-19 kabla ya kuanza kwa michuano ya mataifa …
AFCON 2021, kuanza rasmi baada ya kuahirishwa mwaka jana kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa korona, jumapili ya leo moto kuwaka viwanja mbalimbali nchini Cameroon. Hapa chini tumekuwa makundi na …
Maandalizi yamekamilika kuelekea michuano ya soka kwa mataifa ya Afrika (AFCON) nchini Cameroon, iliyoahirishwa kutoka mwaka 2021 kwa sababu ya janga la Covid 19. Nyota kadhaa wa Ligi …
Michuano ya AFCON iliyoahirisha mwaka 2021 sasa kuendelea mwaka Januari 2022 wakati ligi kuu ya Uingereza ikiwa imepamba moto huku vilabu vingi vikipoteza wachezaji wake mahiri kwenye wakati muhimu. Habari …
Nyota wa timu ya Crystal Palace Wilfried Zaha ameitwa tena kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast ambayo inatarajia kushiriki mashindano ya AFCON mwezi January 2022. Wilfried Zaha …
Mshambuliaji wa timu ya Chelsea Hakim Ziyech hatasafiri kurudi Afrika kwa ajiri ya kuja kuliwakilisha taifa lake la Morocco kwa sababu kocha mkuu wa timu ya taifa Vahid Halilhodzic kutomjumuisha …
Kumekuwa na taarifa mbalimbali kuhusu uwepo wa mashindano ya AFCON mwakani, ni sahihi mashindano hayo kufanyika wakati huu au vipi? Majibu yamewekwa wazi. Kutokana na uwepo wa virusi vya Omicron …
Winga hatari raia wa Senegal Krepin Diatta (22) amejiondoa kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2022 AFCON nchini Cameroon mapema mwaka ujao mara baada ya kupata majeraha ya …
Mwamuzi wa mchezo kati ya Ivory Coast na Ethiopia alikutana na kadhia ya kupoteza fahamu uwanjani zikiwa zimesalia dakika 10 kabla ya mchezo kuisha. Mwamuzi huyo raia wa Ghana Charles …
Mbio za kuwania kufuzu michuano ya AFCON 2022 huko Cameroon ziliendelea jana na Malawi ikafanikiwa kufuzu kwa kuichapa Uganda the Cranes bao moja kwa sifuri. Hii ni mara ya tatu …
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars rasmi imetupwa nje rasmi kushiriki michuano ya AFCON 2022 kule Cameroon. Taifa Stars imetolewa huku ikiwa bado na mchezo mmoja, hii ni baada …
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Paulsen ametangaza kikosi cha wachezaji kitakachoenda kushiriki katika michezo iliyosalia ya kufuzu AFCON. Kikosi cha Taifa Stars kilichoitwa leo …
Kuelekea mashindano ya Africa Cup of Nations 2021 (Afcon 2021), timu ya Senegal imekuwa ni timu ya pili kufuzu kushiriki mashindano hayo. Ni yuleyule nyota wa Liverpool – Saidio Mane …