chelsea - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Lukaku wa Chelsea Anajiandaa Kwenda Napoli

Daily News

Romelu Lukaku anajenga utimamu wake binafsi anaposubiri kujiunga na Napoli na Paris Saint-Germain wanakaribia kusitisha mpango huo huku wakishinikiza kumnunua Victor Osimhen. Miamba hao wa Paris wameamua kuangazia kikamilifu dili …

Chelsea Wanamvizia Lunin

Daily News

Klabu ya Chelsea inaelezwa ina mpango wa kumsajili golikipa namba mbili wa klabu ya Real Madrid Andrey Lunin kwajili ya kua golikipa namba moja ndani ya klabu hiyo msimu ujao. …

Chelsea Yashusha Mashine

Daily News

Klabu ya Chelsea imeendelea kufanya fujo sokoni baada ya kufanikiwa kukamilisha usajili wa mchezaji Renato Viega kutoka klabu ya Fc Basel ya nchini Ureno. Chelsea imemsajili beki huyo wa kati …

Chelsea Kutompiga Bei Jackson

Daily News

Klabu ya Chelsea inaelezwa haina mpango wa kumuuza mshambuliaji raia wa kimataifa wa Ghana Nicklas Jackson kipindi hiki ambacho wanahitaji kupata mshammbuliaji mwingine. Chelsea itaendela kubaki na Jackson kuelekea msimu …

Chelsea Kubeba Kiungo Leicester

Daily News

Kocha mpya wa klabu ya Chelsea Enzo Maresca inaonekana anataka kufanya kazi na wanajeshi aliokua nao ndani ya klabu ya Leicester City msimu uliomalizika. Klabu ya Chelsea inamfukuzia kiungo wa …

Aston Villa Kuibomoa Chelsea

Daily News

Klabu ya Aston Villa ipo mbioni kumalizana na beki wa kushoto wa klabu ya Chelsea raia wa kimataifa wa Uholanzi ambaye alikua anakipiga kwa mkopo klabu ya Borussia Dortmund Ian …

Chelsea Waanza fujo za Usajili

Daily News

Klabu ya Chelsea inaelezwa imekaribia kufanya usajili wa beki wa klabu ya Fulham anayefahamika kama Tosin Adarabioyo anayekipiga kama beki wa katikati ndani ya klabu hiyo kutoka London. Tosin Adarabioyo …

Tuchel Bado Anaipenda Chelsea

Daily News

Kocha wa klabu ya Bayern Munich ambaye amewahi kuifundisha klabu ya Chelsea Thomas Tuchel ameonesha wazi mahaba yake juu ya klabu yake hiyo ya zamani aliyoitumikia kwa mafanikio. Tuchel alipoulizwa …

Chelsea Yajipigia Westham Mkono

Daily News

Klabu ya Chelsea imetakata ikiwa katika dimba lao la Stamford Bridge baada ya kuibamiza klabu ya Westham United kwa jumla ya mabao matano kwa bila katika mchezo wa ligi kuu …

1 2 3 4 5 183 184 185
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.