NBA: Klay Thompson Golden State Warriors Tulicheza Kama Barcelona
Moja ya wachezaji bora wa ligi ya kikapuΒ nchini Marekani NBA Klay Thompson anayeichezea klabu ya Golden State Warriors ameweka wazi kuwa siri ya mafanikio ya timu hiyo ni kocha …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Moja ya wachezaji bora wa ligi ya kikapuΒ nchini Marekani NBA Klay Thompson anayeichezea klabu ya Golden State Warriors ameweka wazi kuwa siri ya mafanikio ya timu hiyo ni kocha …
Fundi wa Kikapu pale NBA, Stephen Curry ameisaidia timu yake ya Golden State Warriors Kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya kikapu nchini Marekani NBA hapo jana. Curry alirejea baada …
Baada ya ya kufunga alama 43 katika mchezo bora aliouonyesha katika Fainali ya NBA 2022 Game 4, mchezaji wa Golden State Warriors, Stephen Curry anatajwa kama mchezaji anaeweza kutwaa …
Staa wa NBA LeBron James mchezaji wa kwanza wa mpira wa kikapu ambaye bado anacheza kuwa bilionea hii ni kwa mujibu wa jarida maarufu Forbes. Utajiri wa nyota huyo sasa …
Mchezaji nyota wa kikapu na timu ya Los Angeles Lakers King LeBron James atakusokena kwenye mchezo wa fainali ya pili msimu huu kwa sababu ya majeraha ya ankle timu yake …
Sanamu ya nguli wa NBA Kobe Bryant na mwanae Gianna Gigi Bryant imepelekwa kwenye eneo la ajali ya helikopta ambapo walipoteza maisha pamoja na wengine saba kwenye mlima karibu …
Staa wa zamani wa Kikapu wa NBA, Michael Jordan, MJ amezungumzia mawasiliano ya mwisho ya ujumbe wa maandishi na Kobe Bryant kabla ya kifo chake. Akizungumza na EPSN, MJ …
Desemba 30, 1984 alizaliwa mchezaji wa kimataifa wa kikapu nchini Marekani LeBron James.Β Kwa sasa nyota huyo anaitumikia klabu ya Los Angeles LakersΒ Β katika Ligi Kuu ya Kikapu nchini Marekani (NBA). …
Mchezaji wa Milwaukee Bucks – Giannis Antetokounmpo amerejea kwenye vichwa vya habari baada ya kuwaangusha vigogo wa NBA kwenye mchezo dhidi ya LA Clippers. Bucks walikuwa uwanjani Jumapili usiku kupambana …
Kunako muendelezo wa NBA, timu ya Miami Heats imewaadhibu vinara wa Western Conference – Utah Jazz. Jazz ambaye anatamba kwa ushindi wa michezo 22 kati ya 24, wamejikuta wakiangukia pua …
James Harden ameomba radhi kwa kinachoendelea baada ya kuihama Huston Rockets na anatamani uwepo wake huko Brookyln Nets utakuwa poa. MVP wa zamani wa NBA Harden alihamia Nets mwezi mmoja …
Muendelezo wa michezo ya NBA 2020/21 ni burudani inayopambwa na rekodi zinazowekwa na zingine zinavunjwa. Wapo wanaopanda na wapo wanaoshuka. LA Lakers, Milwaukee Bucks, Brooklyn Nets, Boston Celtics ni miongoni …
Mwanadada Becky Hammon 43, amekuwa mwanamke wa kwanza kufundisha timu ya mpira wa kikapu NBA (San Antonio Spurs) katika msimu wa kawaida baada ya mikoba ya kocha mkuu Gregg …
Nahodha wa Barcelona, ββLionel Messi amesema supastaa wa Juventus, Cristiano Ronaldo anaonekana katika soka. Messi na Ronaldo wametawala soka kwa zaidi ya muongo mmoja, huku wawili hao wakishinda tuzo 11 …
Lebron James ametimiza miongo miwili tangu alipoanza kucheza mpira wa kikapu mwaka 2003 katika timu ya ya Clevaland Cavaliers ambayo alihama na kurudi. Lebron hakuwa staa mkubwa pamoja kufanya vizuri …
Baada ya ya miaka 14 na timu hiyo Rockets imethibitisha kwamba Dary Morey ataachia rasmi nafasi ya umeneja mwezi ujao Novemba 1. Ataendelea kuwa msaidizi wa mmiliki wa Rockets Tilman …
Michezo ya NBA Play Offs inaendelea kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali. Safari hii Houston Rockets walikuwa uwanjani kupambana na Oklahoma City Thunder. Mchezo huu ulikuwa wa aina yake na ulimalizika …
LeBron James ameeleza umuhimu wa Klye Kuzma katika timu ya Los Angeles Lakers katika mbio za kutwaa ubingwa wa NBA mwaka huu. Licha ya James na Anthony Davis kuwepo uwanjani, …
Nyota wa Los Angeles Lakers LeBron James amesema kwamba hatojihusisha na uvaaji wa jezi zenye ujumbe wa haki za kijamii wakati msimu wa NBA utakapoanza tena Orlando,Frolida. Wachezaji wengi wa …
Nafahamu mashabiki wa mpira wa kikapu duniani hawatapenda kupitwa na hii list iliyozitaja timu 5 za Baskteball kutoka kwenye ligi kuu ya NBA ambazo zimefanikiwa kuchukua ubingwa wa Ligi hiyo …