Kikosi Kipya cha Stars
Tunaelekeza jicho letu kwenye michuano ya mataifa ya Afrika [AFCON] ambapo timu ya taifa ya Tanzania inashiriki ndani ya michuano hiyo kwa mwaka huu baada ya kupata nafasi ya kufuzu …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Tunaelekeza jicho letu kwenye michuano ya mataifa ya Afrika [AFCON] ambapo timu ya taifa ya Tanzania inashiriki ndani ya michuano hiyo kwa mwaka huu baada ya kupata nafasi ya kufuzu …
Mambo yanazidi kuwa matamu kuelekea Afcon 2019! Mashabiki 100 ambao wamesajiliwa wa timu ya taifa ya Ghana watapata fursa ya kusafiri kwenda Misri kushuhudia michuano ya Afcon 2019! Bajeti ya …
Kuna taarifa zinaendelea kugonga vichwa vya habari kwamba klabu za Uingereza tayari zimeanza kuvutiwa na nyota wa Kitanzania, Mbwana Samatta anayekipiga katika klabu ya KRC Genk kwa mafanikio makubwa sana …
Hatua ya upangaji wa makundi yatakayochuana mapema mwezi wa sita kwenye michuano ya AFCON yamekamilika. Katika hatua hiyo kila taifa litacheza na mwenzake aliye kwenye kundi hilo ili kutafuta alama …
Mpaka sasa jumla ya timu 64 kutoka kwenye makundi 12 zinafukuzia nafasi 24 za kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) ambazo zitafanyika nchini Cameroon mwakani na ushindani mkubwa upo …
Mbwana Ally Samatta ambaye ni staa kutokea nchini Tanzania anayeichezea klabu ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji amezidi kutisha sana na sasa anawaniwa na klabu kubwa kadhaa za huko Ulaya! …