De Bruyne Kurejea Tarehe 20
Mchezaji nafasi ya kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Manchester City, Kevin de Bruyne yupo katika maandalizi ya kurudi dimbani kwa sababu sasa ameshapona jeraha lake alilopata miezi …
Mmoja wa Paraguay Kutua Arsenal
Juma hili Daily Mirror wamekuja na tetesi kwamba klabu ya soka ya Arsenal inao uwezekano mkubwa sana wa kumsajili mchezaji mshambuliaji Miguel Almiron wa Paraguay. Wataweza kumsajili ifikapo mwezi wa …
Fabregas Kuamba Mkataba, Cahill Kusalia
Cesc Fabregas ambaye ni mchezaji kiungo wa klabu ya soka ya Chelsea na timu ya taifa ya Hispania anategemea kupata mkataba mpya kwa Wanabluu hao. Mkataba wake unatarajiwa kumalizika mwishoni …
Msala ni kwa Kocha wa Madrid Kuliko Mourinho!
Wengi wa mashabiki wa kandanda wanamtazama kocha Jose Mourinho wa klabu ya soka ya Manchester United kuwa atafukuzwa klabuni pale ila kiukweli ni kocha wa Real Madrid, Julen Lopetegui ambaye …
Piatek na Dili la Barca
Mchezaji mshambulizi wa klabu ya soka ya Genoa, Krzysztof Piatek anajua kwamba klabu pinzani ya Barcelona inahitaji kumsajili ila kumezuka fununu kwamba klabu ya Manchester City, Tottenham Hotspur na Liverpool …
Usajili: Wanaomuwinda Samatta
Mbwana Ally Samatta ambaye ni staa kutokea nchini Tanzania anayeichezea klabu ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji amezidi kutisha sana na sasa anawaniwa na klabu kubwa kadhaa za huko Ulaya! …
Wakala wa Zidane Anena
Wakala wa meneja mwenye umri wa miaka 46, Zinedine Zidane ambaye ni kocha wa zamani wa klabu ya soka ya Real Madrid ambaye amekuwa akisemekana kuwa atatua Manchester United amefunguka …
De Gea Mgumu Kusaini Mkataba Mpya
Man Utd wanaripotiwa kuwa watakuwa na shughuli zaidi ya kumshawishi mlinda mlango wao David de Gea ili aweze kusaini mkataba mwingine kwa kuwa staa huyu anaonekana mbishi kuongeza mda wa …
Paul Ince: Mourinho Lazima Abadilike
Mchezaji wa zamani wa Man Utd ameamua kuzungumzia kuhusu hali inayoendelea katika klabu ya Man Utd na kama Jose Mourinho atimuliwe kwenye klabu hiyo kwa sasa au nini kifanyike zaidi …
Kovac: Rodriguez ni Muhimu Bayern
Nico Kovac amesisitiza kuwa James Rodriguez ambaye alitoka Real Madrid kwa mkopo kuwa ni mchezaji muhimu sana kwa Bayern Munich lakini kwa bahati mbaya hawezi kuchezesha wachezaji 12 uwanjani. Hivi …