De Bruyne Kurejea Tarehe 20
Champions League

Mchezaji nafasi ya kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Manchester City, Kevin de Bruyne yupo katika maandalizi ya kurudi dimbani kwa sababu sasa ameshapona jeraha lake alilopata  miezi …

Soma zaidi
Mmoja wa Paraguay Kutua Arsenal
Football

Juma hili Daily Mirror wamekuja na tetesi kwamba klabu ya soka ya Arsenal inao uwezekano mkubwa sana wa kumsajili mchezaji mshambuliaji Miguel Almiron wa Paraguay. Wataweza kumsajili ifikapo mwezi wa …

Soma zaidi
Fabregas Kuamba Mkataba, Cahill Kusalia
Football

Cesc Fabregas ambaye ni mchezaji kiungo wa klabu ya soka ya Chelsea na timu ya taifa ya Hispania anategemea kupata mkataba mpya kwa Wanabluu hao. Mkataba wake unatarajiwa kumalizika mwishoni …

Soma zaidi
Msala ni kwa Kocha wa Madrid Kuliko Mourinho!
Football

Wengi wa mashabiki wa kandanda wanamtazama kocha Jose Mourinho wa klabu ya soka ya Manchester United kuwa atafukuzwa klabuni pale ila kiukweli ni kocha wa Real Madrid, Julen Lopetegui ambaye …

Soma zaidi
Piatek na Dili la Barca
Football

Mchezaji mshambulizi wa klabu ya soka ya Genoa, Krzysztof Piatek anajua kwamba klabu pinzani ya Barcelona inahitaji kumsajili ila kumezuka fununu kwamba klabu ya Manchester City, Tottenham Hotspur na Liverpool …

Soma zaidi
Usajili: Wanaomuwinda Samatta
Football

Mbwana Ally Samatta ambaye ni staa kutokea nchini Tanzania anayeichezea klabu ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji amezidi kutisha sana na sasa anawaniwa na klabu kubwa kadhaa za huko Ulaya! …

Soma zaidi
Wakala wa Zidane Anena
Champions League

Wakala wa meneja mwenye umri wa miaka 46, Zinedine Zidane ambaye ni kocha wa zamani wa klabu ya soka ya Real Madrid ambaye amekuwa akisemekana kuwa atatua Manchester United amefunguka …

Soma zaidi
De Gea Mgumu Kusaini Mkataba Mpya
Football

Man Utd wanaripotiwa kuwa watakuwa na shughuli zaidi ya kumshawishi mlinda mlango wao David de Gea ili aweze kusaini mkataba mwingine kwa kuwa staa huyu anaonekana mbishi kuongeza mda wa …

Soma zaidi
Paul Ince: Mourinho Lazima Abadilike
Football

Mchezaji wa zamani wa Man Utd ameamua kuzungumzia kuhusu hali inayoendelea katika klabu ya Man Utd na kama Jose Mourinho atimuliwe kwenye klabu hiyo kwa sasa au nini kifanyike zaidi …

Soma zaidi
Kovac: Rodriguez ni Muhimu Bayern
Football

Nico Kovac amesisitiza kuwa James Rodriguez ambaye alitoka Real Madrid kwa mkopo kuwa ni mchezaji muhimu sana kwa Bayern Munich lakini kwa bahati mbaya hawezi kuchezesha wachezaji 12 uwanjani. Hivi …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.