McQueen kwa Mkopo Middlesbrough
Football

Kijana machachari kutoka Southampton, Sam McQueen rasmi sasa anajiunga na Middlesbrough. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 23 ni zao kutoka katika mfumo wa vijana wa Southampton, anauwezo wa kucheza mbele …

Soma zaidi
Sandro Ramirez Atatua Real Sociedad
Football

Winga wa mbele wa Everton, Sandro Ramirez anaandaliwa kuondoka katika klabu hiyo kwenda kujiunga na Real Sociedad kabla ya dirisha la uhamisho Hispania kufungwa ijumaa hii. Sandro, alihamia Everton akiwa …

Soma zaidi
Sterling na Madrid; Mambo Kunoga!
Football

Imewekwa wazi kuwa klabu ya soka ya Real Madrid inamtaka mchezaji mshambuliaji wa klabu ya soka ya Manchester City inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza chini ya bosi Pep Guardiola, Raheem …

Soma zaidi
Mayweather Amemjibu McGregor
Boxing

Vita ya maneno kati ya Floyd Mayweather na Conor McGregor inaendelea kuwa ya moto baada ya mbabe wa McGregor, Mayweather kumjibu mkali huyu aliyemtemea maneno ya shombo kufuatia mualiko wake. Mayweather …

Soma zaidi
Barca: Pogba, Rabiot au De Jong?
Football

Barcelona bado wana matumaini kuwa watawasajili wachezaji wawili kati ya watatu wanao wafukuzia ambao ni Pogba, Rabiot na De Jong kabla ya ijumaa. Dirisha linakaribia kufunga ijumaa ya tarehe 31 …

Soma zaidi
Frenkie de Jong: Siendi Tena Barca
Champions League

Staa wa Ajax Frenkie de Jong  anasema hana mpango tena wa kwenda Barcelona katika msimu huu. Jong ambaye alifikiria kuwa huenda angejiunga na Barca, amekacha mtazamo wake na kusisitiza kuwa hawezi kuondoka …

Soma zaidi
Johanna Konta Nje Us Open 2018
Football

Bingwa wa kike wa Tenisi kutoka Uingereza, Johanna Konta ametolewa katika michuano ya Us Open baada ya kuchapwa kwa seti ya  6-2 6-2 na Caroline Garcia. Michuano hii ambayo huwahusisha mabingwa …

Soma zaidi
Danny Rose Apambana Kubaki Spurs
Football

Mchezaji wa Tottenham Danny Rose anapambana kuendelea kuwepo Spurs kutokana na mafanikio ya timu hiyo. Danny alikuwa anatarajiwa kujiunga kwa mkopo Paris Saint-Germain au Marseille. Danny sasa anakataa dili la …

Soma zaidi
Sheyi Ojo Kuiacha Liverpool
Football

Winga wa liverpool Shey Ojo yuko mbioni kusepa Liverpool na Kujiunga na klabu ya ufaransa ya Stade Reims kwa kipindi kilichobakia katika msimu. Winga huyu mwenye umri wa miaka 21, …

Soma zaidi
Mignolet: Sijui Hatma Yangu Hapa!
Football

Golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Simon Mignolet anasema kwamba anashangazwa sana na suala la klabu hiyo ya Anfield kumpa ruhusa golikipa Loris Karius kujiunga na klabu ya soka …

Soma zaidi