Nje Ndani za Madrid
Daily News

Madrid wamepoteza mechi yao ya pili mfululizo mbele ya Barcelona ambao wamekuwa kwenye msimu mzuri sana kwa sasa. Mechi hizo zote mbili wamezipoteza wakiwa nyumbani kwao ambapo mechi ya kwanza …

Soma zaidi
Bale Anawapa Hasara Real Madrid
Daily News

Hali imekuwa sio Hali wakati matumaini ya Real Madrid kutwaa taji la LaLiga msimu huu yakitoweka. Baadhi ya wadau wamekuwa wakilaumu kuwa Bale hafanyi kazi ile ambayo anatarajiwa kufanya klabuni …

Soma zaidi
Liverpool Mbioni Kumnasa Maxi Gomez
Daily News

Liverpool wanaripotiwa kuwa katika matazamio ya kuamua kumnasa mshambuliaji wa Celta Vigo Maxi Gomez huku nyota huyu akidaiwa kupigiwa upatu na Luis Suarez. Kwa mujibu wa The Sun, staa wa …

Soma zaidi
Juve Waendeleza Utawala…
Daily News

Kama ilivyo kawaida wanasema mwenye bahati zake ametua ndani ya Italia na uwezo wake wote. Imekuwa kawaida sasa hivi kwa wababe wa vikombe ndani ya taifa hilo kushinda mechi zao …

Soma zaidi
Cassano Amemchana Mkewe Icardi
Football

Kumekuwa na stori kibao kuhusu hatma ya Mauro Icardi klabuni Inter Milan na kuhushwa kwake na vilabu mbalimbali. Mkewe Icardi Wanda Nara ambaye pia ni wakala wa mchezaji huyo ameonekana …

Soma zaidi
Nje Ndani za Madrid
Football

Madrid wamepoteza mechi yao ya pili mfululizo mbele ya Barcelona ambao wamekuwa kwenye msimu mzuri sana kwa sasa. Mechi hizo zote mbili wamezipoteza wakiwa nyumbani kwao ambapo mechi ya kwanza …

Soma zaidi
City Kutumia Paundi 350M Usajili
Daily News

Timu zimeanza kuweka mezani mipango ya kutumia pesa nyingi kuwabamba wachezaji wakali msimu huu unakuja wa joto. Manchester City kama klabu zingine nao kama kawaida wapo kwenye mpango wa kukipa …

Soma zaidi
Kikwazo Man U Kumnasa Jadon Sancho
Daily News

Mashetani wekundu wanadaiwa kuwa kwenye mpango kabambe wa kumwaga pesa kumnasa nyota wa Borussiaa Dortmund Jadon Sancho. Tetesi zinadai kuwa Man U wamekutana na kikwazo cha kumnasa nyota huyu anayeripotiwa …

Soma zaidi
Valencia Anavyowaaga United
Daily News

Nahodha wa Manchester United, Antonio Valencia ametoa ujumbe wake wenye hisia kali kwa mashabiki wake baada ya klabu kushindwa kuongeza kushinikiza ongezeko la mwaka mmoja kwenye mkataba wake klabuni hapo. …

Soma zaidi
Real Wanaendelea Kuwa Wateja!
Football

Real Madrid wameshindwa kulipa kisasi, badala yake wanaendelea kuwa wateja tu kwa Barcelona baada kukubali tena kichapo cha bao 1-0 kwenye dimba lao kutoka kwa Barcelona! El clasico iliyopita Real …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.