City Kutumia Paundi 350M Usajili
Football

Timu zimeanza kuweka mezani mipango ya kutumia pesa nyingi kuwabamba wachezaji wakali msimu huu unakuja wa joto. Manchester City kama klabu zingine nao kama kawaida wapo kwenye mpango wa kukipa …

Soma zaidi
Valencia Anavyowaaga United
Football

Nahodha wa Manchester United, Antonio Valencia ametoa ujumbe wake wenye hisia kali kwa mashabiki wake baada ya klabu kushindwa kuongeza kushinikiza ongezeko la mwaka mmoja kwenye mkataba wake klabuni hapo. …

Soma zaidi
Ngoma Droo Spurs Wamshindwa Mgeni
Daily News

Mauricio Pochettino aliingia dimnani leo dhidi ya Arsenal akiwa ameshapoteza matumaini kabisa ya kutwaa taji msimu huu. Kabla ya gemu ya leo alisisitiza kuwa Spurs wanahitaji muujiza labda ili waweze …

Soma zaidi
Nani Unampa Umeneja wa Mwezi Februari?
Daily News

Unampa Nani Umeneja wa Mwezi? Mameneja watatu wameingia kwenye kinyang’anyiro cha meneja bora wa mwezi kwenye Ligi Kuu ya Uingereza. Mameneja hawa ni Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United, Unai …

Soma zaidi
Valencia Anasepa United, Ukepteni je
Daily News

Klabu ya Manchester United wanaripotiwa kuwa wameamua kumchagua mchezaji mwingine atakayechukua nafasi ya Valencia kama nahodha wa klabu hiyo ikiwa nyota huyo atasepa klabuni hapo. Nani atauvaa ukepteni? Taarifa zinadai …

Soma zaidi
Mipango ya Pellegrini Msimu Ujao!
Daily News

Meneja wa West Ham, Manuel Pellegrini ameweka wazi mipango yake kwa msimu unaofuata akisisitiza klabu yake kumaliza katika sita bora kwenye Ligi Kuu ya Uingereza msimu ujao. Meneja huyu ambaye …

Soma zaidi
Majanga ya Pochettino
Daily News

Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …

Soma zaidi
Utamu wa El Classico
Daily News

Katika siku ambazo wapenzi wengi wa soka hupenda kuziona ni pale miamba wa soka na wenye tambo nyingi juu ya mapato yao na uzuri wa vikosi vyao wanapokutana kwenye mchezo. …

Soma zaidi
Mipango ya Pellegrini Msimu Ujao!
Football

Meneja wa West Ham, Manuel Pellegrini ameweka wazi mipango yake kwa msimu unaofuata akisisitiza klabu yake kumaliza katika sita bora kwenye Ligi Kuu ya Uingereza msimu ujao. Meneja huyu ambaye …

Soma zaidi
Majanga ya Pochettino
Football

Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.