Nyota Matajiri wa Nigeria…
Football

Nigeria ina wachezaji nyota wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya mipaka ya nchi hiyo. Kwa sababu hiyo wana kipato kikubwa ambacho kinawafanya waweze kutimiza mahitaji yao ya kila siku. …

Soma zaidi
Piatek Mbioni Kuwafuata Milan
Football

Mshambuliaji wa Genoa, Krzysztof Piatek anatarajiwa kuingia AC Milan kuziba pengo lililoachwa na Gonzalo Higuain ambaye tayari anaripotiwa kwenda Chelsea kukamilisha dili lake la mkopo. Piatek anatarajiwa kuwafuata  kwa paundi …

Soma zaidi
Sintofahamu Kutoweka kwa Sala
Football

Hali ya sintofahamu imeendelea kutawala kwa familia na wapenzi wa mwanasoka aliyekuwa akikipiga kwenye klabu ya Nantes, Emiliano Sala (28). Kutoweka kwake kunaumiza vichwa polisi kubaini mahali ambapo anaweza kuonekana …

Soma zaidi
Henry Anaihofia Monaco Kuliko Hatma Yake
Football

Baada ya Monaco kutemwa kwenye michuano ya Coupe de France na klabu ya Metz ambayo inashiriki League 2, Thierry Henry anasema anaihofia zaidi hatma ya klabu hiyo kuliko hatma yake …

Soma zaidi
Uchambuzi: Chini ya 23 Wanaotesa Ligi Kubwa
Football

Kuna baadhi ya wachezaji walio na umri wa chini ya miaka 23 wanaofanya mambo makubwa sana katika umri wao. Baadhi ya wachezaji hao wamekuwa nguzo kubwa katika ngazi ya klabu …

Soma zaidi
Uingereza: Mbovu za Chelsea
Football

Kuna wakati mchezaji anaweza kusajiliwa katika kikosi cha klabu fulani kwa malengo ya kufanya vizuri katika kikosi husika au kukiwa na lengo kwamba yale aliyokuwa anayafanya upande wa kwanza yatakuwa …

Soma zaidi
Hapa Hamna Usiyempenda!
Football

Duniani kuna aina fulani ya wachezaji ikitokea kuna mmoja wapo unamchukia yupo mwingine ambaye kwa namna youote ile lazima umpende. Hii ni kutokana na ushindani, uwezo au kuna wakati aliwahi …

Soma zaidi
Mourinho Haishiwi Maneno!
Football

Aliyewahi kuwa kocha wa Manchester United, Jose Mourinho ambaye aliweza kupumzishwa na uongozi wa timu hiyo kutokana na mwenendo mbovu na matokeo mabovu ndani ya kikosi hicho; bado amekuwa ni …

Soma zaidi
Cole Kuungana na Lampard
Football

Cole [38] anaonekana kutaka kuungana na mchezaji mwenzake wa kipindi cha nyuma Lampard katika klabu ya Chelsea. Wachezaji hao waliachana kwa kitambo kidogo baada ya kustaafu soka la ushindani pale …

Soma zaidi
Tetesi: Rashford Kusaini Dili Zito Trafford!
Football

Mchezaji huyo kwa sasa amefanikiwa kubadilika kwa kiwango kikubwa sana tofauti na alivyokuwa mwanzoni, pongezi nyingi zimfikie  Ole ambaye kwa nafasi yake anefanikiwa kymtengeneza na amejua namna ya kumtumia mvhezaji …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.