Klopp: Liverpool Tupo Tayari Kukutana na Yeyote!
Champions League

Mara baada ya kupita kwenye hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, sasa kocha wa klabu ya soka ya Liverpool, Jurgen Klopp amedai kwamba yeye hajali ni timu …

Soma zaidi
Nyanda Thibaut Courtois na Dili la Usajili!
Football

Kumekuwa na mazungumzo kuhusiana na mkataba mpya kati ya Courtois na klabu yake ya Chelsea ambayo yamesogezwa mbele mpaka majira ya joto msimu huu. Mazungumzo hayo yanatokana na habari kwamba …

Soma zaidi
Madrid Kutua City!
Football

Moja ya tovuti za habari za soka zinadai kwamba klabu ya soka ya Real Madrid inamfanyia uchunguzi mchezaji nafasi ya winga wa klabu ya Manchester City ya kule Uingereza! Anayezungumziwa …

Soma zaidi
Wanne Wanamnyatia Benzema
Football

Kwa mujibu wa AS inadaiwa kwamba mchezaji nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema anafukuziwa na vilabu vinne huko majuu! Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 30 …

Soma zaidi
Ni Ama Kifungo au Sanchez Alipe Faini!
Football

Msukuma gozi mpya wa Mashetani Wekundu wa jiji la Manchester, Alexis Sanchez amepata hukumu ya miezi 16 jela! Hii imetokana na kosa lake la ukwepaji wa kulipa kodi wakati akiwa …

Soma zaidi
Emre Can Kusalia Anfield?
Football

Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Liverpool, Emre Can anaweka wazi kwamba hajasaini makubaliano ya kujiunga na Juventus msimu huu! Anasema kuwa kwa sasa bado anaongea na …

Soma zaidi
Hekeheka za Liverpool na Usajili!
Football

Liverpool imeamua kukacha mkakati wao wa kumsajili winga wa klabu ya Monaco, Thomas Lemarbada! Hii ni mara baada ya klabu hiyo kuomba dau la paundi milioni 90 kwa mchezaji huyo! …

Soma zaidi
Conte Kuondoka The Blues? Nani Kumrithi?
Football

Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na habari kuwa meneja wa klabu ya soka ya Chelsea, Antonio Conte ana uwezekano mkubwa wa kuondoka pale Darajani Stamford kipindi cha mwisho mwa …

Soma zaidi
The Blues Watupia Jicho Ujerumani!
Football

Kuna habari kuwa klabu ya Chelsea inamhitaji sana mchezaji mshambuliaji wa klabu ya huko Ujerumani ya Borussia Monchengladbach na Ubelgiji aitwaye Thorgan Hazard! Mchezaji huyu ana umri wa miaka 24 …

Soma zaidi
Pep Anangojewa kwa Hamu na Fred!
Football

Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Shakhtar Donetsk na Brazil Fred ambaye ana umri wa miaka 24 anasema anangojea kwa hamu kubwa kupokea simu ya meneja Guardiola …

Soma zaidi
1 2 3 2,148 2,149 2,150 2,151 2,152 2,153