Lingard, Martial Ndani Kuwavaa Liverpool
Football

Manchester United wanakabiriwa na moja ya gemu ngumu na muhimu ili waendelee kupambania nafasi yao ya kumaliza katika 4 bora kama ili waweze kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya. Anthony Martial …

Soma zaidi
Sarri Anahusishwa Kwenda Roma!
Football

Klabu ya Chelsea imekuwa ikipata matokeo mchanganyiko siku za hivi karibuni huku kutoridisha kwa matokeo kukichukua nafasi kubwa. Sarri amekuwa akishikiwa kidedea na baadhi ya mashabiki kuwa asepe klabuni hapo, …

Soma zaidi
Mazao Ambayo Barca Inatamani Kuyarudisha
Football

Ni utamaduni kwa klabu kubwa kuwa na academy ambazo huwa na nia ya kuzalisha wachezaji ambao wataweza kukidhi mahitaji ya klabu zao au hata kuwauza wachezaji hao nje kwa klabu …

Soma zaidi
Nigeria: Ambao Hawajawahi Kucheza Huko
Football

Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoheshimika duniani hasa upande wa soka. Ina wachezaji wengi wenye vipaji na uwezo mkubwa sana. Pamoja na hilo kuna wachezaji ambao hawajawahi kugusa majina yao …

Soma zaidi
Wenye Utajiri Mkubwa…
Football

Wachezaji wengi wenye utajiri mkubwa duniani huupata kutokana na mikataba yao inayowajali na kuwafanya kuwa huru kufanya mambo mengi bila kuwa na mipaka; vilevile baadhi ya tuzo na nyongeza mbalimbali …

Soma zaidi
Rudiger Amkingia Kifua Sarri
Football

Mlinzi wa klabu ya Chelsea, Rudiger ameamua kutoa yake ya moyoni kuhusiana na taarifa zinazoendelea miongoni mwa mashabiki wa kikosi hicho kuhusu mwalimu wao na mfumo unaotumika kikosini hapo hadi …

Soma zaidi
Neymar Alimwaga Machozi Siku2!
Football

Staa wa Paris Saint German -PSG Neymar ametoboa siri kuwa alimwaga machozi kwa siku 2 mfululizo baada ya kupata jeraha lake la pili mwezi uliopita lililofanana na lile alilolipata mwanzo …

Soma zaidi
Messi Atasalia Tu
Football

Rais wa klabu ya Barcelona, Josep Maria Bartomeu hana wasiwasi juu ya kusalia kwa Messi ndani ya kikosi chao katika msimu ujao huku kandarasi yake ikiwa inaelekea ukingoni kwa sasa. …

Soma zaidi
Robo Fainali ya FA
Football

Baada ya mechi za awali kupigwa na matokeo kupatikana hatua inayoelekea kwa sasa ni robo fainali ambapo timu hizo zitaumana tena ili kupata timu zitakazoelekea hatua ya nusu fainali. Ndani …

Soma zaidi
Usiku wa Ligi ya Mabingwa
Football

Baada ya mechi kadhaa kupigwa wiki lililopita leo michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya inarejea tena viwanjani kwa mitanange mikali inayotegemewa kuwa na ushindani wa kusisimua sana kitu ambacho …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.