Lingard, Martial Ndani Kuwavaa Liverpool
Manchester United wanakabiriwa na moja ya gemu ngumu na muhimu ili waendelee kupambania nafasi yao ya kumaliza katika 4 bora kama ili waweze kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya. Anthony Martial …
Sarri Anahusishwa Kwenda Roma!
Klabu ya Chelsea imekuwa ikipata matokeo mchanganyiko siku za hivi karibuni huku kutoridisha kwa matokeo kukichukua nafasi kubwa. Sarri amekuwa akishikiwa kidedea na baadhi ya mashabiki kuwa asepe klabuni hapo, …
Mazao Ambayo Barca Inatamani Kuyarudisha
Ni utamaduni kwa klabu kubwa kuwa na academy ambazo huwa na nia ya kuzalisha wachezaji ambao wataweza kukidhi mahitaji ya klabu zao au hata kuwauza wachezaji hao nje kwa klabu …
Nigeria: Ambao Hawajawahi Kucheza Huko
Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoheshimika duniani hasa upande wa soka. Ina wachezaji wengi wenye vipaji na uwezo mkubwa sana. Pamoja na hilo kuna wachezaji ambao hawajawahi kugusa majina yao …
Wenye Utajiri Mkubwa…
Wachezaji wengi wenye utajiri mkubwa duniani huupata kutokana na mikataba yao inayowajali na kuwafanya kuwa huru kufanya mambo mengi bila kuwa na mipaka; vilevile baadhi ya tuzo na nyongeza mbalimbali …
Rudiger Amkingia Kifua Sarri
Mlinzi wa klabu ya Chelsea, Rudiger ameamua kutoa yake ya moyoni kuhusiana na taarifa zinazoendelea miongoni mwa mashabiki wa kikosi hicho kuhusu mwalimu wao na mfumo unaotumika kikosini hapo hadi …
Neymar Alimwaga Machozi Siku2!
Staa wa Paris Saint German -PSG Neymar ametoboa siri kuwa alimwaga machozi kwa siku 2 mfululizo baada ya kupata jeraha lake la pili mwezi uliopita lililofanana na lile alilolipata mwanzo …
Messi Atasalia Tu
Rais wa klabu ya Barcelona, Josep Maria Bartomeu hana wasiwasi juu ya kusalia kwa Messi ndani ya kikosi chao katika msimu ujao huku kandarasi yake ikiwa inaelekea ukingoni kwa sasa. …
Robo Fainali ya FA
Baada ya mechi za awali kupigwa na matokeo kupatikana hatua inayoelekea kwa sasa ni robo fainali ambapo timu hizo zitaumana tena ili kupata timu zitakazoelekea hatua ya nusu fainali. Ndani …
Usiku wa Ligi ya Mabingwa
Baada ya mechi kadhaa kupigwa wiki lililopita leo michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya inarejea tena viwanjani kwa mitanange mikali inayotegemewa kuwa na ushindani wa kusisimua sana kitu ambacho …

