Pep Anangojewa kwa Hamu na Fred!
Football

Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Shakhtar Donetsk na Brazil Fred ambaye ana umri wa miaka 24 anasema anangojea kwa hamu kubwa kupokea simu ya meneja Guardiola …

Soma zaidi
Vipimo Vya Afya: Barca Wagundua Kuwa Coutinho Ana Majeraha
Football

Mwanasoka mahiri Philippe Coutinho atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa muda wa majuma matatu! Hii ni mara baada ya vipimo vya klabu mpya iliyomsajili Barcelona kugundua kwamba staa huyo ana …

Soma zaidi
Mark Hughes Atimuliwa Stoke
Football

Stoke City imemtimua aliyekuwa kocha wake Mark Hughes baada ya kufungwa na timu ya daraja la pili Coventry City Jumamosi katika michuano ya kombe la FA. Stoke City walipoteza kwa …

Soma zaidi
EPL Inafunga Mwaka, Nani Kutamba?
Football

Wikiendi imewadia na ni muda wa kushuhudia mitanange ya Ligi Pendwa duniani, yaani, Ligi Kuu ya Uingereza ikiwa ni gemu za kufungia mwaka. Tumeona hekaheka za maana sana siku ya …

Soma zaidi
Carvalhal Kocha Mpya Swansea
Football

Swansea City imemteua kocha wa zamani wa Sheffield Wednesday, Carlos Carvalhal kama kocha wao wa kudumu. Kocha mchezaji Leon Britton ndio alikuwa kocha wa muda wa Swansea tangu Paul Clement …

Soma zaidi
Rickie Lambert Atangaza Kustaafu
Football

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na Cardiff City Rickie Lambert ametangaza kustaafu leo kucheza mpira wa miguu baada kuutumikia kwa takribani miaka 19. Lambert 35 amechezea vilabu mbalimbali …

Soma zaidi
Mendy Nje Miezi Saba
Champions League

Beki wa kushoto wa klabu ya Manchester City Benjamin Mendy atakuwa nje kwa miezi saba baada ya kupata majeraha ya goti. Mendy alipata majeraha hayo katika mchezo wa ligi kuu …

Soma zaidi
Uturuki Kuwa na David Silva?
Football

Kumekuwa na habari kutoka kwenye vyombo vya habari huko Uingereza ambazo zinaripoti kwamba mchezaji nafasi ya kiungo David Silva yupo mbioni kusepa kwenda Uturuki kukipiga kwa Fenerbahce! David Silva amekuwa …

Soma zaidi
Ubora FIFA: Tanzania Chini Zaidi, Ujerumani Juu!
Football

Hapo juzi viwango vipya vya ubora wa FIFA vimetangazwa ambapo timu za kandanda za mataifa ya Kenya na Tanzania zimeshuka sana! Hiyo ni orodha ya kila mwezi inayotolewa na FIFA. …

Soma zaidi
Usajili wa Burnley Umevunja Rekodi Yao!
Football

Klabu ya soka ya Burnley imemnunua mshambuliaji Chris Wood anayetokea kule Leeds United! Bei yake imetajwa kuwa ndiyo iliyovunja rekodi ya klabu hiyo katika usajili ambapo ni dau la takribani …

Soma zaidi
1 2 3 2,155 2,156 2,157 2,158 2,159
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.