United Kukutana na Sarriball kwenye FA
Football

Katika upangaji wa pacha uliofanyika siku ya jana umeweza kutoa pacha ambazo kila timu itakutana nayo kwenye hatua ya tano ya michuano hiyo. Zikiwemo na klabu nyingine lakini hawa wawili …

Soma zaidi
£21.5M za PSG Kumnasa Idrisa Gueye
Football

PSG wamekunjua dau la paundi milioni 21.5 kama ofa ya kumnasa nyota wa Everton Idrisa Gueye, lakini bado Everton wanaonekana kuhitaji bunda kubwa zaidi, angalau mara mbili ya dau lao …

Soma zaidi
FA Cup: Kuelekea Droo Raundi ya 5!
Football

Wiki ya raundi ya 4 ya FA Cup imewaacha vichwa chini baadhi ya watabe wa Ligi Kuu ya Uingereza wakilazimika kuwa watazamaji tu. Baadhi ya timu bado zinakabiliwa na kibarua …

Soma zaidi
Tonge Laponyoka Mdomoni…
Football

Marko Arnautovic asaini kuendelea kuwatumikia West ham kwa kipindi kingine pamoja na kupata ofa kubwa ambayo yeye anaiita yenye majaribu makubwa kuweza kutimkia China. Aliweza kuhusishwa kujiunga na klabu mbili …

Soma zaidi
Osaka na Kvitova Walizana
News

Mchezaji huyo wa tenisi raia wa Japan alishinda taji lake la Australian Open na kumwacha mpinzani wake Petra akitoa machozi baada ya kulikosa tajji hilo katika mazingira ambayo yeye mwenyewe …

Soma zaidi
Kapu la Fununu za Usajili Ulaya
Football

Ikiwa wiki moja imewasalia kufungwa kwa dirisha la usajili la Januari, klabu nyingi barani Ulaya zinafanya kila linalowezekana kuweza kuendana na kasi hiyo kwa kusajili wachezaji watakaoziba nafasi zilizokuwepo katika …

Soma zaidi
Alvaro Morata Yupo Fiti Kuingia Atletico
Football

Mshambuliaji wa Chelsea Alvaro Morata yupo fiti kuingia Atletico Madrid baada ya kufuzu vipimo vya afya. Nyota huyu sasa anatarajiwa kurejea Hispania. Morata alijiunga na Chelsea akitokea Real Madrid sasa …

Soma zaidi
Itachukua Mda Bale Kurejea Mazima?
Football

Bosi wa Real Madrid, Santiago Solari ana wasiwasi kuwa nyota wa klabu hiyo Gareth Bale huenda akahitaji mda zaidi ili kuweza kurejea mazima katika hali yake ya kawaida na kupata …

Soma zaidi
Quatar, Japan: kwa Nini Washiriki Copa America?
Football

Quatar ni nchi ya Mashariki ya Kati na Japani pia ni nchi ya Asia Mashariki, lakini nchi hizi zinashiriki katika michuano ya Copa America ambayo kimsingi ipo kwa ajili ya …

Soma zaidi
EPL: Walinda Mlango Bora
Football

Kuna wakati timu inaweza ikawa bora lakini kama itakosa wazuiaji wa mipira bora katika milingoti miwili iliyosimama huweza kuwa ni tatizo kubwa zaidi litakaloifanya klabu husika kupoteza uimara wake. Hapa …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.