Hali Ngumu kwa Benitez!
Football

Alan Pardew ambaye ni meneja wa zamani wa klabu ya soka ya Newcastle anasema kwamba kwa sasa meneja Rafael Benitez anakumbana na changamoto kubwa sawa na alizokumbana nazo wakati alipokuwa …

Soma zaidi
Waliotangulia Cameroon ni Hawa Hapa…
Football

Mpaka sasa jumla ya timu 64 kutoka kwenye makundi 12 zinafukuzia nafasi 24 za kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) ambazo zitafanyika nchini Cameroon mwakani na ushindani mkubwa upo …

Soma zaidi
Hazard Anamuiga Ronaldo!
Football

Wes Browsn ambaye alikuwa ni mchezaji mlinzi wa klabu ya soka ya Manchester United amesema kwamba mchezaji wa Chelsea Eden Hazard anatumia mbinu kama zile za mchezaji staa Cristiano Ronaldo …

Soma zaidi
Real Madrid Watamsubiri Mourinho?
Football

Wakati Jose Mourinho akiwa akiripotiwa yuko mbioni kupoteza kibarua chake kufuatia mwanzo mbaya wa msimu huu pale United, Real Madrid wanaripotiwa kuwa wanatazamia kumrejesha kocha huyo Real Madrid kuichukua nafasi …

Soma zaidi
Inter: Hapa ni Nyumani –Icardi
Football

Nahodha wa timu ya Inter Milan, Mauro Icardi amewahakikishia mashabiki na wadau wengine wa karibu na klabu hiyo kuwa Inter Milan kwake ni kama nyumbani na angependa abaki hapo kwa …

Soma zaidi
Rekodi za Messi ni Balaa!
Champions League

Kama ulikuwa hufahamu hizi hapa ni rekodi za msakata kabumbu maarufu Lionel Messi kwenye Ligi Kuu Hispania, La Liga msimu wa 2006/07: Kwa sasa mshambuliaji huyo wa Barcelona Lionel Messi …

Soma zaidi
Sajili za Wabelgiji
Football

Imebainishwa na Sun kuwa mchezaji kiungo wa kati wa Ubelgiji mwenye umri wa miaka 31, Mousa Dembele yupo tayari kuachia mkataba wake wa Tottenham ili ahamie kwenye Ligi ya China …

Soma zaidi
Kante Kulamba Mkataba Mpya
Football

Mirror wanaripoti kuwa klabu ya soka ya Chelsea imempatia kiungo N’Golo Kante wa Ufaransa mkataba mpya ikiwa ni jitihada zao za kuhakikisha kwamba Kante anabakia Stamford Bridge kwani anasakwa na …

Soma zaidi
De Gea Kulipwa Zaidi United
Football

Manchester United wanaripotiwsa kuwa wanafanya kila wawezalo kuongeza mkataba wa mlinda mlango wao David De Gea. Mkataba wa nyota huyu unaisha mwezi Juni mwakani, itakuwa hasara kubwa kwa klabu hii …

Soma zaidi
Hazard: Nilisikitika Mourinho Kutimuliwa
Football

Eden Hazard amefichua kuwa alimtumia ujumbe Jose Mourinho akimuelezea masikitiko yake baada ya meneja huyo kutimuliwa kazi pale Chelsea mwaka 2015. Mourinho alitimuliwa kazi baada ya kuchapwa na Leicester City …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.