Unampa Leicester au Liverpool?
Football

Leicester anamkaribisha Liverpool kwenye dimba la Nguvu ya Mfalme (King Power Stadium) akiwa na wenge la kupoteza gemu moja katika tatu alizocheza. Leicester amepoteza dhidi ya Man Utd kwa bao …

Soma zaidi
Siri ya Pellegrini kumkataa Yaya Toure
Football

West Ham wanaripotiwa kuwa wamegoma dili la kumchukua Yaya Toure. Kulikuwa na ripoti kuwa Yaya Toure aliamua kubaki mjini London baada ya kuondoka Man city, hivyo alikuwa anatafuta timu atakayoitumikia …

Soma zaidi
Madrid Wanyakua Tuzo Zote!
Football

Mabingwa Real Madrid wamepata mafanikio mengine baada ya wachezaji wake walio iwezesha timu hiyo kupata ushindi kunyakua tuzo zilizokuwa zikishindaniwa. Ukianza na Cristiano Ronaldo ambaye kwa sasa yupo Juventus, amenyakua …

Soma zaidi
Mabingwa Ulaya Nani Anao Mtiti?
Champions League

Mshike mshike wa Klabu bingwa Ulaya 2018 /2019 umefunguliwa rasmi! Pazia limefunguliwa katika droo ya makundi, makundi yako wazi. Kila timu sasa inajua inakutana na mbabe gani katika msimu huu …

Soma zaidi
McQueen kwa Mkopo Middlesbrough
Football

Kijana machachari kutoka Southampton, Sam McQueen rasmi sasa anajiunga na Middlesbrough. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 23 ni zao kutoka katika mfumo wa vijana wa Southampton, anauwezo wa kucheza mbele …

Soma zaidi
Sandro Ramirez Atatua Real Sociedad
Football

Winga wa mbele wa Everton, Sandro Ramirez anaandaliwa kuondoka katika klabu hiyo kwenda kujiunga na Real Sociedad kabla ya dirisha la uhamisho Hispania kufungwa ijumaa hii. Sandro, alihamia Everton akiwa …

Soma zaidi
Sterling na Madrid; Mambo Kunoga!
Football

Imewekwa wazi kuwa klabu ya soka ya Real Madrid inamtaka mchezaji mshambuliaji wa klabu ya soka ya Manchester City inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza chini ya bosi Pep Guardiola, Raheem …

Soma zaidi
Mayweather Amemjibu McGregor
Boxing

Vita ya maneno kati ya Floyd Mayweather na Conor McGregor inaendelea kuwa ya moto baada ya mbabe wa McGregor, Mayweather kumjibu mkali huyu aliyemtemea maneno ya shombo kufuatia mualiko wake. Mayweather …

Soma zaidi
Barca: Pogba, Rabiot au De Jong?
Football

Barcelona bado wana matumaini kuwa watawasajili wachezaji wawili kati ya watatu wanao wafukuzia ambao ni Pogba, Rabiot na De Jong kabla ya ijumaa. Dirisha linakaribia kufunga ijumaa ya tarehe 31 …

Soma zaidi
Frenkie de Jong: Siendi Tena Barca
Champions League

Staa wa Ajax Frenkie de Jong  anasema hana mpango tena wa kwenda Barcelona katika msimu huu. Jong ambaye alifikiria kuwa huenda angejiunga na Barca, amekacha mtazamo wake na kusisitiza kuwa hawezi kuondoka …

Soma zaidi
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.