Sarri: “Nina Deni Kubwa kwa Benitez”
Bosi wa Chelsea, Maurizio Sarri anasema anadaiwa deni kubwa la fadhila kwa Rafael Benitezi wa New Castle United. Bosi huyu aliipotea timu ya Napoli kutoka katika mikono ya Benitez mwaka …
Arsenal Atachomoka Leo?
Arsernal wa Unai Emery leo anamkaribisha West Ham United pale Emirates Stadium. Washika mtutu na washika nyundo wote wana njaa ya kupata pointi leo baada ya kuanza vibaya. Je nani …
Everton Watampoteza Ademola Lookman!
Winga wa Everton, Ademola Lookman anaripotiwa kuwa ameshaandaliwa kuondoka Everton kujiunga na RP Leipzig. Taarifa hizi zimeripotiwa na chanzo cha habari cha The Mirror kuwa tayari mchezaji huyu yuko mbioni …
“Arsenal Hawahitaji Kombe”
Aliyewahi kuwa mchezaji wa Arsenal Alan Smith amesema kwa sasa Arsenal hawahitaji kushinda ubingwa, inahitaji tu mabadiliko chanya. Alan Smith amesema hayo kufuatia washika mtutu hao kuanza vibaya msimu wakiwa …
Wajue Wafungaji Maridadi Primier League!
Rekodi ya Alan Shearer ya jumla ya magoli 206 inaweza kuvunjwa na vijana maridadi wanoendelea kuonekana katika orodha ya wafungaji wenye magoli mengi kwenye Primier League. Ifahamu hapa orodha ya …
AC Millan Wanammendea Adrien Rabiot!
Ac Millan wanadaiwa kuwa wapo katika mazungumzo ya kumnasa kijana machachari bwana Adrien Rabiot kutoka PSG. Millan wanamuhijaji Adrien Rabiot katika Seria A kati ya mwezi january au msimu ujao wa kiangazi …
Chelsea: “Hazard Haendi Popote”
Eden Hazard aliripotiwa huenda ataenda Real Madrid na kuiacha chelsea . Ripoti zinadai kuwa Hazard kwa sasa huenda akakataa ofa ya kwenda Real Madridi kabla ya dirisha kufungwa. Dennis Wise …
Liverpool: Klabu Haiuzwi
Mwanzoni kulikuwa na ripoti kuwa binamu wa mmiliki wa Manchester City Sheik Mansour alikuwa anahitaji kuinunua klabu ya Liverpool na kubainisha kuwa alikuwa kwenye mazungumzo ili aweze kuinunua timu hiyo. …
Guerrero Ahukumiwa Kutocheza
Paolo Guerrero kwa sasa hataweza kuichezea timu yake mpya ya International kutoka Brazili kutokana na hukumu aliyopewa inayoimzuia kucheza soka kutokana na matumizi ya dawa za kulevya. Awali mkali huyu …
Ofa ya Betis Kwa Man City
Ripoti zinadai kuwa Real Betis wametoa ofa rasmi kwa Manchester city kumchukua Oleksandr Zinchenko kwa mkopo huku wakifikiria kumchukua moja kwa moja. Chanzo cha habari cha kihispania Mundo Deportivo kinaripoti kuwa …

