Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema, Everton watafikiria uwezekano wa kocha wa Rangers Steven Gerrard na kocha wake wa zamani wa Liverpool Rafael Benitez kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti. Pia kocha wa zamani …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Tetesi zinasema, Everton watafikiria uwezekano wa kocha wa Rangers Steven Gerrard na kocha wake wa zamani wa Liverpool Rafael Benitez kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti. Pia kocha wa zamani …
Tetesi zinasema Arsenal na Liverpool wanaangalia uwezekano wa kumhamisha kiungo wa kati wa Brighton na Mali Yves Bissouma, 24. Mlinzi wa Chelsea Mjerumani Antonio Rudiger, 27, na mlinzi wa England …
Miaka ya 1990s John CruyfF’ aliabudu sana mfumo wa tiki taka na umiliki wa mpira kwa vijana wa La Masia pale barcelona, na ndipo soka likalipa fadhila kwa kumtunuku dunia …
Luis Suarez. Staa wa soka wa timu ya taifa ya Uruguay ambaye kwa sasa anaichezea FC Barcelona ya Hispania, Ni moja ya wachezaji waliopitia msoto, akiwa na umri wa miaka …
Kuna kipindi soka la Ulaya linakuwa tamu la kuvutia linalopendwa kuonekana mbele ya shabiki yeyote yule duniani. Kiujumla wachezaji wanajituma, akili na miili yao yote inafanya kazi moja tu: kuhakikisha …
Imezoeleka kwamba mara nyingi mchezaji anapofika miaka kuanzia 30 uwezo wake wa kisoka na kucheza mpira wa ushindani hupungua pia kwa kiwango fulani; na maisha yake kisoka kwa wakati huo …
Matajiri wa nchini Uingereza, Manchester United wana uhakika wa kumshawishi kiungo wa klabu hiyo, Paul Pogba ili aweze kundelea kusalia ndani ya klabu hiyo. Mchezaji huyo amekuwa akiwafikirisha sana matajiri …
Hivi juzi wakati wa mechi nzito kati ya Chile na Uruguay kulitokea kioja kikubwa kwa mchezaji mkubwa kama Suarez kutaka kufanya udanganyifu uwanjani kwa kumshawishi muamuzi kuita mpira wa penati …