UCL: Bayern, Liverpool,Juventus na Ajax Zafuzu 16 Bora
Ligi ya Mabingwa Ulaya imefika patamu wakati hatua ya makundi inaelekea ukingoni na hapa kuna timu tayari zimekata tiketi ya hatua ya 16 bora. Bayern Munich na Juventus zilikuwa timu …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Ligi ya Mabingwa Ulaya imefika patamu wakati hatua ya makundi inaelekea ukingoni na hapa kuna timu tayari zimekata tiketi ya hatua ya 16 bora. Bayern Munich na Juventus zilikuwa timu …
Mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or ameshajulikana baada ya orodha ya majina kuvuja na picha iliyoonekana katika mitandao ya kijamii inaonesha straika wa Bayern Munich ndiyo mshindi wa tuzo hiyo …
Bayern Munich walijitupa uwanjani siku ya Jumatano kuendelea na mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ambapo walikuwa ugenini katika dimba la Estadio da Luiz kuumana na Benfica na timu zote …
Mshambuliaji wa Bayern Munchen, Robert Lewandowski ameweka rekodi mpya baada ya kutwaa kiatu cha dhaabu baada ya kuwa mfungaji wa magoli mengi kwenye msimu mmoja wa dunia kwa kufunga …
Mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski anaamini anaweza kuendelea na kuboresha kiwango chake akiwa na miamba hiyo ya Ujerumani na haitaji kwenda ligi nyingine yeyote kuthibitisha. Lewandowski alizungumza hivyo jana …
Barcelona na Bayern Munich zinaanza mbio kunako Ligi ya Mabingwa kwa mechi kali ya Kundi E huko Camp Nou siku ya Jumanne usiku mechi itakayopigwa majira ya saa nne usiku …
Robert Lewandowski anataka changamoto mpya mbali na Bayern Munich lakini klabu inataka fungu la zaidi ya £100m ili kumuachia. Sky Sports News imeambiwa Lewandowski, ambaye atatimiza miaka 33 Jumamosi, anafuraha …
Raisi wa Klabu ya Bayern Munich, Herbert Hainer amesisitiza mshambuliaji wao Robert Lewandowski ataendelea kuwepo katika misimu miwili ijayo na hawatarajii kumuuza katika majira haya ya kiangazi. Lewandowski …
Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski amechaguliwa kama Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ujerumani kwa msimu wa pili mfululizo mbele ya Thomas Muller na Erling Haaland. Lewandowski alitwaa tuzo …
Kulingana na Jarida la The Sun, Klabu ya Chelsea wanaandaa mpango wa kutaka kumsajili mshambuliaji wa Poland na Bayern Munich, Robert Lewandowski katika majira haya ya kiangazi. Chelsea wamehamishia …
Manchester City wanaripotiwa kuwa ‘hawana nafasi’ ya kumpata Robert Lewandowski wa Bayern Munich msimu huu wa joto. Mkataba wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 dimbani Allianz Arena unastahili …
Kingsley Coman ameomba mshahara sawa na Robert Lewandowski anapoangalia upya mkataba wake Bayern Munich kabla hajasaini tena. Fowadi huyo wa Ufaransa alifurahiya msimu wake mzuri kwenye klabu msimu wa 2020/21, …
Fowadi wa Bayern Munich Robert Lewandowski ameripotiwa kuibuka kama kipaumbele cha mipango ya uhamisho ya Chelsea. The Blues wanaonekana wameamua kusaini mshambuliaji mpya katika msimu huu wa usajili wa kiangazi …
Robert Lewandowski ni mtambo wa mabao hilo halina ubishi baada ya kumaliza msimu wa 2020-21 akiwa kinara wa upachikaji magoli ulaya katika nagazi ya klabu. Rekodi yake ya ufungaji kwa …
1. Robert Lewandowski (Bayern Munich) Nani anabisha? Lewandowski ndiye straika bora kabisa duniani kwa sasa. Supastaa huyo wa Poland ameweka rekodi ya kibabe kabisa kwenye kikosi cha Bayern Munich, akifunga …
Wawakilishi wa Chelsea wamewasiliana na mabosi wa Bayern Munich ili kuinasa saini ya Robert Lewandowski (32) katika dirisha lijalo la majira ya Kiangazi. Mbali na kuwasiliana na mabosi wa timu …
Chelsea wameripotiwa kuwasiliana na wawakilishi wa mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski kabla ya uhamisho wa msimu huu wa joto. Blues tayari wameanza kusaka fowadi mpya kabla ya kuanza kwa …
Karl-Heinz Rummenigge hajachelewa kujibu juu ya uvumi unaoendelea kuondoka kwa Robert Lewandowski huko Bayern Munich, na kuondoa kuyaondoa mazunguzo ya aina hiyo. Imependekezwa kuwa mabingwa wa Ujerumani wanaweza kuwa tayari …
Timu ya Bayern Munich inayoshiriki katika Bundesliga ilifanikiwa kutangazwa kuwa bingwa wa ligi hiyo hapo jana baada ya kushusha kipigo kikubwa kabisa cha 6-0 kwa borussia mönchengladbach. Katika mechi hiyo …
Vinara wa Ligi Kuu ya Ujerumani, Bayern Munich leo wanashuka dimbani dhidi ya Union Berlin katika mwendelezo wa Ligi hiyo huku wakiwakosa wachezaji wao tisa akiwemo mwamba kinara wa kufumania …