Afcon 2021: Mane Aivusha Senegal.
Kuelekea mashindano ya Africa Cup of Nations 2021 (Afcon 2021), timu ya Senegal imekuwa ni timu ya pili kufuzu kushiriki mashindano hayo. Ni yuleyule nyota wa Liverpool – Saidio Mane …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kuelekea mashindano ya Africa Cup of Nations 2021 (Afcon 2021), timu ya Senegal imekuwa ni timu ya pili kufuzu kushiriki mashindano hayo. Ni yuleyule nyota wa Liverpool – Saidio Mane …
Kocha Mkuu wa Morocco Herve Renard snsschis ngazi baada ya Morocco kushindwa kutoboa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Africa -AFCON. Morocco walikuwa wanatarajiwa kuwa moja ya timu ambayo …
Wakati michuano ya mataifa ya Afrika yakiwa yanaendelea kushika kasi na kila timu ikitafuta ubingwa kwa heshima yake ili kuandika historia mpya kwenye michuano ya mwaka huu, basi timu za …
Huku mechi ya ufunguzi wa michuano ya mataifa ya Afrika ikitegemewa kupigwa leo huko Misri ambapo wenyeji hao wa michuano hiyo ya mwaka huu wataanza kufungua mechi yao na Zimbabwe …
Kombe la mataifa ya Afrika ambalo ndilo linajulikana kama AFCON ni kati ya mataji makubwa sana kwenye soka la Afrika na lina heshima ya pekee sana kwa kukutanisha wachezaji wa …
Hapo awali Cameroon walipewa nafasi ya kuandaa fainali za michuano hiyo mikubwa na ya aina yake Afrika, lakini kutokana na sababu mbalimbali wameweza kupokwa nafasi hiyo; huku Misri akipewa ripoti …
Mtu mmoja anaripotiwa kufariki dunia wakati wengine 39 wameumia katika uwanja wa taifa wa Madagaska kwenye mechi ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika AFCON 2019 kati ya Madagaska na …
Rodrygo anatarajiwa kuondoka Real Madrid mwezi Januari huku timu za Premier League, Arsenal na Liverpool, zikimfuatilia mchezaji huyo wa Brazil, ripoti kutoka Caught Offside zinaeleza. Mchezaji huyo mwenye umri wa …
Mlinzi mahiri wa Nigeria, William Troost-Ekong, ametangaza kustaafu rasmi soka la kimataifa, hatua inayofunga ukurasa muhimu katika historia ya Super Eagles. Baada ya miaka takribani nane kwenye kikosi cha taifa, …
Katika dhamira yake ya kuibadilisha kikamilifu safu ya kiungo ya Manchester United, kocha Ruben Amorim sasa yuko tayari kufanya uamuzi mgumu kumtoa sokoni nahodha wa timu, Bruno Fernandes, ili kufadhili …
Amin Mohamed Omar ni mwamuzi maarufu kutoka Misri ambaye kwa sasa anatajwa kuwa miongoni mwa waamuzi bora barani Afrika. Alizaliwa Septemba 25, 1985, katika eneo la Mohandseen jijini Cairo, Misri. …
Kipa wa timu ya Taifa Stars, Aishi Manula ameweka wazi kuwa wana mchezo mgumu dhidi ya Guinea lakini lengo mama ni kuhakikisha wanfuzu AFCON 2025 kwa kuwa watakuwa nyumbani Mchezo …
NYOTA wa Tanzania Simon Msuva anakwenda kuanza maisha mapya Ulaya katika timu iliyopo Jamhuri ya Iraq huko Asia wa msimu wa 2024/25. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya …
BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia yapo vizuri kwa kila mchezaji kuwa …
INAELEZWA kuwa kuna sababu 5 zilizowafanya Mabosi wa Yanga kumpatia mkataa mpya wa miaka miwili, kitasa Bakari Mwamnyeto, ambapo mwanzoni watani zao walikuwa wanakaribia kuinasa saini ya mchezaji huyo. …
Yanga SC imetwaa taji la 3 mfululizo la Kombbe la Shirikisho lakini ni kama bado wana kinyongo na aliyekuwa mchezaji wao zamani, Feisal Abdallah Salum, Feitoto. Kwani mchezo ulivyomalizika kupitia …
Kikosi cha Mamelodi Sundowns kimewasili usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere tayari kabisa kukipiga na Yanga SC katika mchezo wa Robo fainali ya Ligi ya …
Kocha wa zamani wa vilabu vya Real Madrid, Chelsea, Man United, Fc Porto, As Roma na Inter Milan Jose Mourinho amefunguka kua hajutii kukataa ofa ya kuinoa timu ya taifa …
KIKOSI Cha Taifa Stars kipo zake kwenye ardhi ya Azerbaijan barani Ulaya kikijifua na michezo ya FIFA Series, lakini kilio kikubwa Kwa wachezaji ni hali ya hewa. Odds kubwa, kasino …
Mwenyekiti wa zamani wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema kuwa watani zao, Klabu ya Yanga wanapaswa kupongezwa kutokana na soka safi wanalocheza hivi sasa na kupata matokeo mazuri …