AFCON Imemponza Herve Renard
Kocha Mkuu wa Morocco Herve Renard snsschis ngazi baada ya Morocco kushindwa kutoboa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Africa -AFCON. Morocco walikuwa wanatarajiwa kuwa moja ya timu ambayo …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha Mkuu wa Morocco Herve Renard snsschis ngazi baada ya Morocco kushindwa kutoboa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Africa -AFCON. Morocco walikuwa wanatarajiwa kuwa moja ya timu ambayo …
Wakati michuano ya mataifa ya Afrika yakiwa yanaendelea kushika kasi na kila timu ikitafuta ubingwa kwa heshima yake ili kuandika historia mpya kwenye michuano ya mwaka huu, basi timu za …
Huku mechi ya ufunguzi wa michuano ya mataifa ya Afrika ikitegemewa kupigwa leo huko Misri ambapo wenyeji hao wa michuano hiyo ya mwaka huu wataanza kufungua mechi yao na Zimbabwe …
Kombe la mataifa ya Afrika ambalo ndilo linajulikana kama AFCON ni kati ya mataji makubwa sana kwenye soka la Afrika na lina heshima ya pekee sana kwa kukutanisha wachezaji wa …
Hapo awali Cameroon walipewa nafasi ya kuandaa fainali za michuano hiyo mikubwa na ya aina yake Afrika, lakini kutokana na sababu mbalimbali wameweza kupokwa nafasi hiyo; huku Misri akipewa ripoti …
Mtu mmoja anaripotiwa kufariki dunia wakati wengine 39 wameumia katika uwanja wa taifa wa Madagaska kwenye mechi ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika AFCON 2019 kati ya Madagaska na …
Kipa wa timu ya Taifa Stars, Aishi Manula ameweka wazi kuwa wana mchezo mgumu dhidi ya Guinea lakini lengo mama ni kuhakikisha wanfuzu AFCON 2025 kwa kuwa watakuwa nyumbani Mchezo …
NYOTA wa Tanzania Simon Msuva anakwenda kuanza maisha mapya Ulaya katika timu iliyopo Jamhuri ya Iraq huko Asia wa msimu wa 2024/25. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya …
BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Ethiopia yapo vizuri kwa kila mchezaji kuwa …
INAELEZWA kuwa kuna sababu 5 zilizowafanya Mabosi wa Yanga kumpatia mkataa mpya wa miaka miwili, kitasa Bakari Mwamnyeto, ambapo mwanzoni watani zao walikuwa wanakaribia kuinasa saini ya mchezaji huyo. …
Yanga SC imetwaa taji la 3 mfululizo la Kombbe la Shirikisho lakini ni kama bado wana kinyongo na aliyekuwa mchezaji wao zamani, Feisal Abdallah Salum, Feitoto. Kwani mchezo ulivyomalizika kupitia …
Kikosi cha Mamelodi Sundowns kimewasili usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere tayari kabisa kukipiga na Yanga SC katika mchezo wa Robo fainali ya Ligi ya …
Kikosi cha Mamelodi Sundowns kimewasili usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere tayari kabisa kukipiga na Yanga SC katika mchezo wa Robo fainali ya Ligi ya …
Kocha wa zamani wa vilabu vya Real Madrid, Chelsea, Man United, Fc Porto, As Roma na Inter Milan Jose Mourinho amefunguka kua hajutii kukataa ofa ya kuinoa timu ya taifa …
KIKOSI Cha Taifa Stars kipo zake kwenye ardhi ya Azerbaijan barani Ulaya kikijifua na michezo ya FIFA Series, lakini kilio kikubwa Kwa wachezaji ni hali ya hewa. Odds kubwa, kasino …
Mwenyekiti wa zamani wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema kuwa watani zao, Klabu ya Yanga wanapaswa kupongezwa kutokana na soka safi wanalocheza hivi sasa na kupata matokeo mazuri …
Chelsea na Arsenal zimesalia kwenye kinyang’anyiro cha kumnasa Victor Osimhen, kwa mujibu wa vyanzo vya Ben Jacobs vinavyodai kipaumbele cha mshambuliaji huyo ni kuhamia Ligi kuu ya Uingereza. Osimhen hivi …
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Ismael Aden Rage, ameweka wazi kuwa anakoshwa na ubora wa kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua na kudai kuwa kovh wa Ivory Coast anapaswa …
TIMU ya Taifa ya Tanzania Ya Wanawake (Twiga Stars) itashuka dimbani leo Ijumaa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi kucheza na Timu ya Taifa ya Afrika Kusini (Banyana Banyana). Mchezo …
Nigeria ilitinga robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya Ademola Lookman kufunga mabao mawili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cameroon katika hatua ya 16 bora. …