Pochettino Akerwa Kuulizwa Hatma Yake Chelsea
Kocha wa klabu ya soka ya Chelsea Mauricio Pochettino ameoneshwa kuchukizwa na maswali ya hatma yake ndani ya klabu hiyo na kua huenda akaondoka ndani ya timu hiyo mwishoni mwa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha wa klabu ya soka ya Chelsea Mauricio Pochettino ameoneshwa kuchukizwa na maswali ya hatma yake ndani ya klabu hiyo na kua huenda akaondoka ndani ya timu hiyo mwishoni mwa …
Klabu ya Chelsea imeendelea kuandamwa na majanga kwani wachezaji wake muhimu wanaendelea kupata majeraha ambapo wachezaji wawili wa klabu hiyo wamepata majeraha tena. Kiungo Enzo Fernandez na beki Axel Disasi …
Nyota wa Napoli, Victor Osimhen alikaa kwa siku chache mjini Paris mapema wiki hii, na kuchochea tetesi za uhamisho wa kwenda PSG mwishoni mwa msimu huu. Mchezaji huyo wa kimataifa …
Klabu ya Chelsea itaweza kufuta uteja kwa klabu ya Manchester United leo katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza utakaopigwa usiku wa leo ndio kitendawili kikubwa kwa matajiri hao wa …
Beki wa pembeni wa Torino, Raoul Bellanova alivutia sana kwenye mchezo wake wa kwanza wa Italia, huku Chelsea, Manchester United, West Ham na Aston Villa zikimfuatilia. Mchezaji huyo mwenye umri …
Klabu ya Chelsea imeendelea kuandamwa na majeraha katika kikosi chao haswa katika wachezaji ambao wanaunda kikosi cha kwanza cha klabu hiyo. Beki wa kushoto wa klabu hiyo ambaye ni nahodha …
Klabu ya Chelsea imeingia mawindoni kumtafuta winga wa klabu ya Athletic Club ya nchini Hispania mwenye asili ya Ghana Nico Williams ambaye anafanya vizuri klabuni hapo kwasasa. Winga huyo inaelezwa …
Conor Gallagher alifurahishwa na Chelsea kuweza kutoa kipigo chao jana cha mabao 3-2 dhidi ya Leeds baada ya kupoteza Kombe la Carabao dhidi ya Liverpool Jumapili. Chelsea watamenyana dhidi ya …
Chelsea na Arsenal zimesalia kwenye kinyang’anyiro cha kumnasa Victor Osimhen, kwa mujibu wa vyanzo vya Ben Jacobs vinavyodai kipaumbele cha mshambuliaji huyo ni kuhamia Ligi kuu ya Uingereza. Osimhen hivi …
Inasemakana Chelsea wameanza mchakato wa kumsajili beki wa OGC Nice, Jean-Clair Todibo, huku Tottenham pia wakimfuatilia beki huyo kwa uakribu zaidi. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni na …
Unaweza kusema bado wanajipigia ndio kauli ambayo unaweza kuitumia kwa klabu ya Chelsea, Kwani leo tena wamepoteza mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya klabu ya Everton. Chelsea wamejikuta …
Ripoti za Ufaransa zinaonyesha kuwa, Milan wanajaribu kuanzisha mkataba mpya kwa Mike Maignan na vilabu vikuu ikiwemo PSG, Bayern na Chelsea vinafuatilia kwa makini mazungumzo hayo. Kipa huyo mwenye …
Milan wapo katika hali ya majeruhi na wana nia ya kumchukua beki wa Chelsea Benoit Badiashile mwezi Januari. Kocha wa Rossoneri Stefano Pioli alilazimika kumtumia kiungo Rade Krunic kama …
Chelsea wanajipanga kumfanya Victor Osimhen kuwa mlengwa wao nambari 1 kwenye dirisha la usajili la Januari. Chelsea walihusishwa na kutaka kumnunua mshambuliaji huyo wa Napoli majira ya joto kufuatia …
Klabu ya Manchester City na Chelsea wako kwenye kipindi kigumu kwasasa baada ya klabu ya Everton kupokonywa alama 10 baada ya kuvunja sheiria za matumizi ya fedha. Everton wamepokwa alama …
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino amesema kua kiungo wa klabu hiyo Romeo Lavia ameshapona na ameanza mazoezi na wachezaji wenzake. Kiungo Romeo Lavia amekua na majeraha tangu atue …
Chelsea itamenyana na Newcastle huku Liverpool ikimenyana na West Ham katika robo fainali ya Kombe la Carabao. Mechi nyingine itawakutanisha Everton wakiwakaribisha Fulham baada ya kumenyana na Burnley na …
Imebainika kua klabu ya Chelsea walitoa ofa ndogo kwa klabu ya soka ya Ajax kwa kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Mohammed Kudus na ndio sababu iliyopelekea dili la mchezaji …
Mustakabali wa Victor Osimhen ulikuwa gumzo kuu katika kipindi chote cha uhamisho wa majira ya kiangazi huku kocha mkuu wa Chelsea Pochettino akimhitaji pia. Mshambuliaji huyo wa Nigeria alifurahia …
Mkurugenzi wa klabu ya Inter Milan Ausilio amesema kua hawana mpango wa kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Armando Broja kwakua wanavutiwa na washambuliaji walionao klabuni hapo. Ausilio ameweka wazi …