UCL: Lewandowski Kukosa Mechi Zote Dhidi ya PSG
Robert Lewandowski atakosa mechi zote za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Paris Saint-Germain baada ya Bayern Munich kuthibitisha kuwa atakuwa nje kwa mwezi mmoja kutokana na jeraha …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Robert Lewandowski atakosa mechi zote za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Paris Saint-Germain baada ya Bayern Munich kuthibitisha kuwa atakuwa nje kwa mwezi mmoja kutokana na jeraha …
Mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski ameendeleza kuweka rekodi kadhaa katika michuano ya Ligi ya mabingwa UEFA mara baada ya hapo jana kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa …
Erling Haaland nyota wa Borussia Dortmund anapaswa kujiunga na Bayern Munich au aondoke Bundesliga ili kuendeleza kipaji chake, amesema Lothar Matthaus. Mshambuliaji huyo wa Norway alifunga mara mbili katika ushindi …
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa, Bayern Munich. Wametinga hatua ya fainali ya mashindano ya Fifa Club World Cup 2021. Bayern wameingia fainali baada ya kuwagaraza miamba ya soka la …
Robert Lewandowski amekua mchezaji wa kwanza kufunga magoli 21 katika kipindi cha kwanza cha kampeni ya Bundesliga na bao la kwanza kwa Bayern Munich dhidi ya Freiburg. Gerd Muller hapo …
Robert Lewandowski amezungumza kwa maneno mazuri juu ya uhusiano wake na Jurgen Klopp, akisema bosi wa sasa wa Liverpool alikuwa “mwalimu mbaya” ambaye alimchochea kwenye njia ya kuwa bora sasa …
Mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski ametoboa siri kwamba alifanya mazungumzo na Alex Ferguson juu ya kuhamia Manchester United mwaka 2012. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Poland alikuwa akihusishwa mara …
Mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa FIFA, akiwatupa Cristiano Ronaldo na Lionel Messi. Tuzo za Wanasoka Bora za FIFA zilifanyika jioni ya Alhamisi. Fowadi wa …
Robert Lewandowski aliendelea kuweka historia zaidi kwenye mchezo wa soka kwa kufunga mabao matatu kwenye ushindi wa 5-0 dhidi ya Eintracht Frankfurt. Lewandowski ambaye ni raia wa Poland ndiye mchezaji …
Thomas Muller amemsifu Eric Maxim Choupo-Moting na kumtania kuwa alijipanga haswa, lakini magoli mawili akiwa Bayern Munich ikiwa ndiyo gemu yake ya kwanza Moting amefurahia na kuwa msaidizi wa Robert …
Baada ya kuhairishwa kwa tuzo za Ballon d’or, Robert Lewandowski ameshinda tuzo ya mtu mmoja ya soka la Ulaya. Kocha wake Hansi Flick, pia ametwaa tuzo hizo za UEFA. Mshambuliaji …
Matarajio juu ya Erling Haaland katika timu ya Dortmund ni makubwa kuliko yale ya Robert Lewandowski kipindi alipojiunga na klabu hiyo, hii ni kwa mujibu wa nahodha wa zamani wa …
Miamba ya Ujerumani Bayern wanampango wa kubeba Bundesliga mara ya tisa mfululizo kwa msimu 2020-21 na usiku wa leo watawakaribisha Schalke katika dimba la Allianz Arena. Mabingwa hao wa Ulaya …
Robert Lewandowski anaamini anaweza kuendelea kusakata kabumbu mpaka pale atakapo fikisha umri wa miaka 40 baada ya kuendelea kuwa sehemu ya kikosi cha Bayern Munich kwa msimu mwingine. Mshambuliaji huyo …
Robert Lewandowski atwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka Ujerumani baada ya kufanya vyema katika msimu uliopita akiwa na Bayern Munich. Tuzo hii hutolewa kwa kupitia kura zinazopigwa na wawakilishi …
Mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski anaamini kwamba alikuwa anastahili kushinda tuzo ya Ballon d’Or kama tuzo hizo zisingeondolewa mwaka 2020. Chama cha mpira Ufaransa kilithibitisha mwezi Julai kwamba hakutokuwepo …
Nyota wa Bayern, mshindi na mfungaji kinara wa Ligi ya Mabingwa 2019/20 Robert Lewandowski anakupa ujumbe huu leo kuwa; “Kamwe usiache kuwa na ndoto”. Bayern Munich wameweka rekodi ya kushinda …
Nyota Robert Lewandowski kwa sasa anajivunia kufungia Bayern Munich ya Ujerumani jumla ya mabao 54 kutokana na mechi 45 za mapambano yote ya hadi kufikia sasa msimu huu. Alifunga bao …
Mshambuliaji wa Bayern Munichen – Robert Lewandowski amekuwa na msimu mzuri katika Bundesliga na Michuano ya Ulaya – UEFA msimu huu. Je, ataifikia rekodi ya Cristiano Ronaldo. Lewandowski amechukua tuzo …
Robert Lewandowski amesema kwamba Jurgen Klopp ana “sura mbili ” anasura kama baba pia ana sura kama kocha. Nyota huyo wa Bayern Munich alipaza sauti kwa Meneja huyo wa Liverpool …