Ecuador - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Copa America; Brazil Waambulia Pointi 1

Copa America

Wakati mashindano ya Copa America yakiendelea barani Amerika, Ecuador wameamua kuwatoa Brazil mchezoni kwa kuwashika shati. Brazil walikuwa uwanjani kuchuana na Ecuador kwenye mchezo wa mwisho wa kundi B. Licha …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

  Tetesi zinasema Leicester City wameacha mpango wao wa uhamisho kwa ajili ya kiungo wa kati wa Inter Milan Christian Eriksen, 28, kwasababu mchezaji huyo wa kimataifa wa Denmark anataka …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

  Tetesi zinasema kutimuliwa kwa kocha wa PSG Thomas Tuchel kumeathiri matumaini ya klabu ya Real Madrid kumsaini mshambuliaji Kylian Mbappe kutoka klabu hiyo ya Ligue 1. Tetesi zinasema Atletico …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema amekataa kusaini mkataba mpya na Bayern Munich, na anatarajia kuanza mazungumzo na Chelsea, Real Madrid na Paris St. Germain. Beki wa Manchester City na England John Stones, 26 …

Wenye Makali Nyumbani…

Champions League

Huwa ni jambo la kawaida pale wachezaji wanapofanya vyema zaidi upande mmoja lakini wanapokuwa upande mwingine wanakuwa na kiwango ambacho huwa hakivutii hadi kufanya mashabiki au uongozi wa pale walipo …

Hii Lazima Ikushangaze!

Champions League

Kuna msemo mmoja katika lugha ya Kiingereza unasomeka kwamba “English is not simple” akiwa na maana akwamba ‘lugha ya kiingereza sio rahisi’. Kauli hii inajengeka katika misingi kwamba kuna baadhi …

Wachezaji Wenye Makali Nyumbani

Champions League

Huwa ni jambo la kawaida pale wachezaji wanapofanya vyema zaidi upande mmoja lakini wanapokuwa upande mwingine wanakuwa na kiwango ambacho huwa hakivutii hadi kufanya mashabiki au uongozi wa pale walipo …

Italia Kuumana na Poland U20

Football

Italia watakutana na wenyeji Poland kwenye Kombe la Dunia la vijana U20! Gemu inapigwa kesho, Jumapili Juni 2, gemu inayoaminika kuwa itakuwa ngumu kwa wageni wakati wenyeji wakipata hamasa kutoka …

Valencia Anavyowaaga United

Daily News

Nahodha wa Manchester United, Antonio Valencia ametoa ujumbe wake wenye hisia kali kwa mashabiki wake baada ya klabu kushindwa kuongeza kushinikiza ongezeko la mwaka mmoja kwenye mkataba wake klabuni hapo. …

Valencia Anavyowaaga United

Football

Nahodha wa Manchester United, Antonio Valencia ametoa ujumbe wake wenye hisia kali kwa mashabiki wake baada ya klabu kushindwa kuongeza kushinikiza ongezeko la mwaka mmoja kwenye mkataba wake klabuni hapo. …

1 2 3 4