Chelsea Mambo Bado Magumu
Klabu ya Chelsea mambo bado yanaendelea kuwaendea upande kwani leo tena wameshindwa kupata matokeo ya ushindi katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya AFC Bournamouth. Chelsea imelazimishwa sare …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Chelsea mambo bado yanaendelea kuwaendea upande kwani leo tena wameshindwa kupata matokeo ya ushindi katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya AFC Bournamouth. Chelsea imelazimishwa sare …
Klabu ya Chelsea imepokea kichapo chake cha pili kutoka kwa klabu ya Nottingham Forest kunako ligi kuu ya Uingereza wakiwa katika dimba la nyumbani la Stamford Bridge. Chelsea wamecheza mchezo …
Cole Palmer amekamilisha uhamisho wake kwenda Chelsea kutoka Manchester City kabla ya dirisha la usajili kufungwa Uingereza leo usiku. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 ni mchezaji wa …
Klabu ya Chelsea imethibitisha kuwa mshambuliaji wao Romelu Lukaku amejiunga na Roma kwa mkopo. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti. Lukaku ataungana na kocha …
Mauricio Pochettino aliwasifu wachezaji wake wa kwanza katika ushindi wa Chelsea wa Kombe la Carabao dhidi ya AFC Wimbledon lakini alikataa kuhusishwa na ripoti zinazodai kwamba Cole Palmer yuko njiani …
Klabu ya Chelsea imehamishia nguvu kwa mchezaji kinda wa klabu Manchester City ambaye anacheza nafasi ya kiungo wa ushambuliaji anayejulikana kama Cole Palmer. Klabu ya Chelsea mpaka sasa inaripotiwa kufanya …
Klabu ya soka ya Chelsea inataka kuongeza nguvu kwenye safu yake ya kiungo na mchezaji wanaemuwinda ni kiungo wa majirani zao klabu ya Arsenal Emile Smith Rowe raia wa kimataifa …
Klabu ya Chelsea hatimaye imeshinda hapo jana kwa mabao 3-0 dhidi ya Luton Town wakiwa katika dimba lao la Stamford Bridge tangu ligi ianze. Mabao hayo ya kuiteketeza Luton …
Ligi kuu ya Uingereza EPL kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja mbapo vijana wa Pochettino Chelsea watakuwa Starmford Bridge kucheza dhidi ya Luton Town majira ya saa 4:00 usiku. …
Mshambuliaji anayehitajika Folarin Balogun anaripotiwa kuwa tayari kuondoka Arsenal na kwenda kwa wapinzani wao wa London Chelsea. Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 22 alifunga mabao 22 kwa mkopo …
Jimmy Floyd Hasselbaink anaamini kuwasili kwa Moises Caicedo ni dhibitisho zaidi ya kuendelea kukua kwa Chelsea licha ya mechi ngumu ya kiungo huyo dhidi ya West Ham. The Blues …
Klabu ya Chelsea bado inachechemea kunako ligi kuu ya Uingereza baada ya kukubali kichapo leo katika derby ya London dhidi ya klabu ya Westham United jioni ya leo. Chelsea wanacheza …
Winga wa klabu ya Chelsea raia wa kimataifa wa Ukraine Mykhailo Mudryk ameomba uvumilivu ndani ya klabu hiyo kutokana na kiwango chake ambacho anakionesha kwasasa. Mudryk ambaye amekua akinyooshewa kidole …
Ripoti nyingi nchini Italia zinadai kuwa Milan wamedai kuwa Moise Kean yupo Juventus ingawa Armando Broja wa Chelsea anasalia kuwa shabaha kuu ya Rossoneri. Milan wanasaka mshambuliaji mpya wa …
Aliyekua kiungo wa klabu ya Southampton Romeo Lavia yuko mbioni kujiunga na matajiri wa jiji la London klabu ya soka ya Chelsea kwa ada ya uhamisho wa paundi milioni 50. …
Milan bado inatafuta chaguo la kumleta mshambuliaji wa Chelsea Armando Broja mwenye miaka 21, kwa San Siro kwa mkataba wa mkopo, licha ya kupokea majibu hasi kutoka kwa WaLondon baada …
Chelsea wamekamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa Moises Caicedo kutoka Brighton kwa dau la pauni milioni 115. Kiungo huyo wa kati wa Ecuador mwenye miaka 22, alikaribia kujiunga …
Leo kitapigwa kipute kati ya klabu ya Liverpool dhidi ya Chelsea ambao watakua nyumbani katika dimba lao la Stamford Bridge katika mchezo wao wa kwanza wa ligi kuu ya Uingereza …
Klabu ya Chelsea imeingia vitani na klabu ya Liverpool katika kumuwania kiungo wa klabu ya Southampton raia wa kimataifa wa Ubelgiji Romeo Lavia. Chelsea imetaarifiwa kupeleka kiasi cha paundi milioni …
Kuna jambo jipya la kushangaza katika harakati za kumsaka Romelu Lukaku, kukiwa na taarifa jioni ya jana kwamba Chelsea hawana nia ya kumsajili Dusan Vlahovic. Iliaminika kwamba Bianconeri walikuwa …