Ibrahimovic Atarejea Kuvaana na Roma?
Kuna matumaini kuwa nyota wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic ataweza kurejea dimbani Juni 28. Atakuwa tayari kuzama dimbani dhidi ya Roma Jumapili ijayo. Staa huyu anatarajia kufanyiwa uchunguzi mwingine na …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kuna matumaini kuwa nyota wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic ataweza kurejea dimbani Juni 28. Atakuwa tayari kuzama dimbani dhidi ya Roma Jumapili ijayo. Staa huyu anatarajia kufanyiwa uchunguzi mwingine na …
Hakan Calhanoglu amemsifu mchezaji mwenzake wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic amisema amekuwa na mchango mkubwa sana klabuni hapo na ndiyo staa wa klabhu. Calhanoglu amesema kuwa Ibrahimovic amefanya makubwa Milan …
Kulikuwa na wasi wasi mkubwa juu ya kurejea dimbani mapema kwa mshambuliaji wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic, baada ya kuripotiwa kupata jeraha la enka katika ripoti za awali Jumatatu. Hata …
Mark Hughes aliwahi kuichezea Wales na Bayern Munich kwa siku mmoja Hughes aliposini kama mchezaji wa Bayern alitakuwa kuichezea Wales dhidi ya Czechoslovakia, Prague katika kufuzu Euro ’88. “Nilipata chakula cha …
Mshambuliaji wa AC Milan Zlatan Ibrahimovic aliyezaliwa tarehe 3 oktoba mwaka 1981, amefanya mazoezi katika klabu ya Hammarby 🇸🇪, klabu ambayo yeye anamiliki Asilimia 25. Zlatan akizungumza na wahandishi wa …
Nyota wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic ameweka wazi kuwa hana uhakika juiu ya Hatma yake Milan. Staa huyu pia amesisitiza kuwa bado hajafahamu ni nini anachokihitaji kwa sasa. Zlatan amesema …
Sanamu ya aliyekuwa nyota wa Manchester United Zlatan Ibrahimovic imetengenezwa kwenye mji aliozaliwa. Mashabiki wengi walijitokeza kushuhudia kutambulishwa rasmi kwa sanamu hiyo Jumanne. Sanamu hii inatajwa kutengenezwa na msanii wa …
Zlatan Ibrahimovic ameamua kuzungumza tena kuhusu habari ya kusepa klabuni LA Galaxy kufuatia tetesi zinazomuhusisha yeye na klabu ya AC Milan. Nyota huyu amesisitiza kuwa yeye hatasepa klabuni hapo.Kupitia ukurasa …
Mkurugenzi wa michezo wa AC Milan, bwana Leornardo amesema legendary wa Soka aliyewahi kukipiga klabuni hapo bwana Zlatan Ibrahimovic hatakuwa akirejea kipindi hiki. Nyota huyu anayekipiga La Galaxy alikuwa akihushwa …
Mshambuliaji wa La Galaxy Zlatan Ibrahimovic amezungumzia taarifa za kuhusishwa kwake na Inter Milan kama tetesi tuu, lakini alivyobanwa kuzungumzia madai hayo kama ni ya uongo ameshindwa kuyakataa. Imeripotiwa kuwa …
Tetesi zinasema, wachezaji wa Tottenham Hotspur wanapoteza uvumilivu kwa Jose Mourinho huku wakinyooshea kidole na kusisitiza kuwa hawako vizuri kupambana na changamoto za nne bora. Tetesi zinasema, tamaa ya Boris …
Christian Pulisic na Rafael Leao hawamo kwenye kikosi cha Milan kitakachocheza mechi ya kirafiki dhidi ya Roma mjini Perth Mei 31, lakini Olivier Giroud amesafiri na timu. Milan ilitoa orodha …
Beki wa kati wa Chelsea, Thiago Silva ambaye leo hii ni siku yake ya kuzaliwa ambapo ametimiza miaka 38 amesema kuwa anapanga kumuiga rafiki yake Zlatan Ibrahimovic kucheza soka hadi …
Tetesi zinasema, Liverpool itafanya mazungumzo na Fulham mwezi huu kuhusu mkataba kwaajili ya mshambuliaji mwenye umri wa miaka 19 Fabio Carvalho, huku wakitaka kufikia makubaliano kabla ya msimu ujao. …
Tetesi zinasema, Barcelona wanapanga kumnunua winga wa Chelsea na Marekani Christian Pulisic, 23, mlinzi wa Ujerumani Antonio Rudiger, 28, na mlinzi wa pembeni wa Uhispania Cesar Azpilicueta, 32. Leeds …
Ule muda wa mashabiki wa soka kuanza kuburudika na mashindano ya Ligi ya Mabingwa (Uefa), umewadia! Timu bora barani Ulaya kuanza kupepetana wiki hii. Baadhi ya timu zitakua na sura …
Tetesi zinasema, Manchester City wako tayari kulipa pauni milioni 130 kwa ajili ya mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 27, na wamesalia kuwa na matumaini kwamba wanaweza kusaini …
Wimbo mpya umetolewa uliowekwa maalum kabisa kwa mkali wa Inter Milan, Romelu Lukaku baada ya ushujaa wake na mchango mkubwa katika ushindi wa Scudetto (taji la Serie A). Wimbo huo …
Tetesi zinasema Barcelona bado haijampatia ofa mpya Lionel Messi, 33, ambaye mkataba wake na klabu hiyo ya Uhispania unakamilika msimu huu wa joto. Mazungumzo kati ya mshambuliaji wa Barcelona na …
Tetesi zinasema kuna uwezekano mkubwa Cristiano Ronaldo, 36, akarejea tena Manchester United kuliko Madrid akiamua kuondoka Juventus msimu huu. Nyota wa NBA LeBron James ameungana na Fenway Sports Group, ambayo …