Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema Leicester City imeonesha nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Watford na England Nathaniel Chalobah, 26, siku ya mwisho ya usajili. Tetesi zinasema Liverpool imefanya mazungumza na beki …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Tetesi zinasema Leicester City imeonesha nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Watford na England Nathaniel Chalobah, 26, siku ya mwisho ya usajili. Tetesi zinasema Liverpool imefanya mazungumza na beki …
Mshambuliaji wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic. Alijikuta akiambulia kadi nyekundu na kuigharimu timu hiyo kwenye mchezo dhidi ya Inter Milan. AC Milan walichuana na Inter Milan kwenye mchezo wa Coppa …
Tetesi zinasema Leicester City wameacha mpango wao wa uhamisho kwa ajili ya kiungo wa kati wa Inter Milan Christian Eriksen, 28, kwasababu mchezaji huyo wa kimataifa wa Denmark anataka …
Paris Saint-Germain wanaripotiwa wanatarajia kupata uamuzi wiki hii kuhusu ofa yao kwa kiungo wa Tottenham Hotspur Dele Alli. Alli ameshindwa kumshawishi vyema meneja Jose Mourinho, ambaye anaona mchezaji huyo ni …
Klabu ya Tottenham Hotspurs bado inasugua kichwa kwa baadhi ya wachezaji wake. Delle Alli, Gareth Bale na Christian Eriksen ni miongoni mwa majina makubwa kwenye klabu hiyo. Hali ilivyo kwa …
Klabu ya Paris Saint Germain wamemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Tottenham Mauricio Pochettino kama mrithi wa Tuchel ambaye tayari walishasitisha mkataba wake. Pochettino amewasili PSG leo na kusaini mkataba hadi …
Ni suala la muda tu kwa Mauricio Pochettino kutangazwa kama mrithi wa Thomas Tuchel kunako klabu ya PSG. Baada ya PSG kusitisha mkataba wake na Tuchel usiku wa kuamkia Siku …
Tetesi zinasema Manchester United ina matumaini ya kumsajili winga wa England Jadon Sancho, 20, kutoka Borussia Dortmund kwa kima cha chini ya pauni milioni 100 mwaka huu. Tetesi zinasema …
Tukiwa tunahesabu siku chache kabla ya dirisha dogo la usajili kufunguliwa Januari 1, 2021. Fununu zinaendelea kushika kasi!!! Fununu za usajili zinasema Arsenal wanapanga kumpeleka Mesut Ozil Juventus kwa mkataba …
Klabu ya Inter Milanimeripotiwa kuwa wanafikiria uwezekano wa kufanya dili la mabadilishano kati ya nyota wa Manchester UnitedDonny van de Beek na Christian Eriksen. Kwa mujibu wa ripoti kutoka Italia, …
Aliyekuwa meneja wa zamani wa Tottenham Mauricio Pochettino amekuwa akihusishwa na nafasi ya kibarua pale Paris Saint Germain -PSG, ambako pia nyota wa Inter Christian Eriksen anahusishwa nako. Chanzo kimoja …
Tetesi zinasema Manchester United imemuongeza mlinzi wa Brighton Ben White kwenye orodha ya wachezaji wa beki wa kati wanaowataka. Paris St-Germain wanajiandaa kwa uhamisho wa mkopo mwezi Januari wa kiungo …
Tetesi zinasema Pep Guardiola anataka Manchester City kumsajili Jack Grealish, baada ya kubaini kiungo huyo wa kati wa Aston Villa na England, 25, kama kipaumbele chake katika mipango yake ya …
Tetesi zinasema Arsenal imesaidiwa katika harakati zake za kumsajili kiungo wa kati wa Uturuki Yusuf Yazici baada ya ajenti wake kukiri kwamba mchezaji huyo huenda akaondoka katika klabu ya Lille. …
Tetesi zinasema mshambuliaji wa zamani wa Manchester City na Liverpool Mario Balotelli amefanya mazungumzo na timu ya Championi ya Barnsley. Muitalia huyo mwenye umri wa miaka 30 , yuko huru …
Tetesi zinasema Manchester United wamewasilisha rasmi dau la kumnunua Cristiano Ronaldo kwa ajenti wake katika jaribio la kumsajili mshambuliaji huyo wa Portugal kutoka Juventus. Mabingwa hao wa Serie A wako …
Mlinzi wa Milan Simon Kjaer ‘anajihisi kuwa na jukumu’ huko Milan na anapendekeza mwenzake Christian Eriksen anapaswa ‘kucheza katika nafasi yake.’ Mlinzi huyu wa kati wa Denmark ni mmoja wa …
Tetesi zinasema Manchester City itaweza kumsajili kiungo mchezeshaji kutoka Barcelona, Muargentina Lionel Messi, 33, msimu ujao kama fursa hiyo itajitokeza. Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, raia wa Norway striker Erling Haaland, …
Inter Milan ipo kwenye mpango wa kuipata saini ya kiungo wa Chelsea raia wa Ufaransa, N’Golo Kante msimu huu licha ya kukutana na vigingi kutoka kwa mabosi wake. Antonio Conte …
Tetesi zinasema Manchester United itapaswa kulipa kiasi cha pauni milioni 18.5 pekee ikiwa wanataka kumsajili winga wa Real Madrid na Wales Gareth Bale, 31. Tetesi zinasema Tottenham inataka kumpata mshambuliaji …