Lukaku Mchezaji Bora Mwezi February.
Mchezaji wa Inter Milan, Romelu Lukaku amechaguliwa kama Mchezaji bora wa Serie A mwezi Februari MVP. Serie A wametangaza mchezaji huyo wa Nerazzurri kama mshindi wa tuzo ya Februari MVP, …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mchezaji wa Inter Milan, Romelu Lukaku amechaguliwa kama Mchezaji bora wa Serie A mwezi Februari MVP. Serie A wametangaza mchezaji huyo wa Nerazzurri kama mshindi wa tuzo ya Februari MVP, …
Tetesi zinasema Real Madrid wako tayari kumuuza Raphael Varane, 27 kwa Manchester United baada ya mchezaji huyo kukataa kusaini mkataba mpya uwanjani Bernabeu. Gareth Bale, 31 amesema ataishinikiza Real madrid …
Kwa miaka 27 baba wa Taifa la Pitso Mosimane na Senzo Mbatha alifungwa jela kwa kuwatumikia watu wa kusini mwa Afrika. Ndio, hapa namzungumzia Nelson Mandela, The Freedom Fighter. Licha …
Mino Raniola ameelezea kwa nini hawezi kuzungumzia suala la uwezekano wa nyota wa Manchester United Paul Pogba kurejea Juventus. Raniola aliwasili Palazzo Parigi huko Milan ambako mkutano wa Lega Serie …
Tetesi zinasema Inter Miami inataka kuwasajili wachezaji wawili wa zamani wa timu ya taifa ya England Ryan Shawcross, 33, kutoka Stoke City na beki Kieran Gibbs, 31, wa West Brom. …
Tetesi zinasema kocha cha Tottenham, Jose Morinho anasubiri muda unaofaa kufungua mazungumzo ya kuongeza mkataba na mshambuliaji wa korea kusini Heung-min Son ambaye mkataba wake unakamilika 2023. Majeraha ya beki …
Mchezaji wa Juventus, Dejan Kulusevski amemtaka mkongwe wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovich arudi kutoka kustaafu kuichezea timu yake ya Taifa ya Sweden na kushiriki pamoja katika mashindano ya Euro. …
Stefano Pioli alipongeza ukomavu uliyooneshwa na wachezaji wake wa Milan licha ya kukosekana kwa mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic aliyeumia. Milan ilipata ushindi bila wa 2-1 dhidi ya Sampdoria bila Ibrahimovic, ambaye …
Stefano Pioli anaamini Milan walijitengenezea matatizo yao wenyewe na kufungwa 3-0 wakiwa katika dimba nyumbani dhidi ya Lille katika michuano ya Europa League. Yusuf Yazici alifunga hat-trick – ni kwa …
Lorenzo Colombo anafuraha kwamba bidii yake imemfanya acheze mchezo wake wa kwanza na kufunga goli Milan iliposhinda 3-2 dhidi ya Bodo/Glimt siku ya Alhamisi. Colombo ambaye ni zao kutoka akademi …
Kocha mkuu wa AC Milan Stefano Pioli amewataka Milan kucheza vizuri ili waweze kumaliza katika nne za juu msimu huu mpya wa Serie A. The Rossoneri walimaliza katika nafasi ya …
Tetesi zinasema Baba yake Lionel Messi ameiambia Paris St-Germain kwamba mshambuliaji huyo wa Barcelona na Argentina, 33, anataka kujiunga na Manchester City. Messi alimpigia simu kocha wa Manchester City Pep …
Paris Saint-Germain imemshukuru “moja ya wachezaji wakubwa” katika historia yao kufuatia kuondoka kwa Thiago Silva ingawa mlinzi huyo hatarajii kuwa bila klabu kwa muda mrefu. Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka …
Tetesi zinasema mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi mwishoni mwa wiki amewasiliana na meneja wa Man City, Pep Guardiola na kumfahamisha kwamba anataka kuondoka Barcelona. Manchester City inaweza kuwatoa mabeki wake …
Tetesi zinasema Aston Villa itatangaza dau £30m la kumnunua mshambuliaji wa Celtic Mfaransa Odsonne Edouard, 22. Beki wa safu ya kati wa Lille raia wa Brazil Gabriel Magalhaes, 22, amekubali …
Tetesi zinasema Real Madrid inaamini kuwa mshambuliaji Kylian Mbappe ,21, atakuwa na mazungumzo nao kuhusu uhamisho kutoka Paris St-Germain. Liverpool ina mpango wa kumuuza beki wake Dejan Lovren,31, ingawa anatafuta …
Tetesi zinasema Inter Milan wanafikiria kumnunua kiungo wa kati, Mfaransa N’Golo Kante huku Blues wakiwa tayari kusikiliza ofa kwa ajili ya kumuuza mchezaji huyo wa Ufaransa, 29. Zenit St Petersburg …
Mwandishi wa vitabu C.S.LEWIS amewahi sema kitu kuhusu kiburi “ Kiburi kamwe hakifurahii kuwa na kitu, ila kinapenda kuwa na kitu zaidi ya mwingine, kulinganishwa kunakufanya ujione mkubwa na ujivune, …
Klabu ya Everton imejaribu kufanya mawasiliano na Mino Raiola juu ya mteja wake, Zlatan Ibrahimovic kutaka kuangalia upatikanaji wake na kama wanaweza kumnasa nyota huyo mbali na kuwepo kwa uvumi …
Gareth Bale ameanza kuhusishwa kwenye mipango ya Jose Mourinho ambaye anatamani kumrejesha nyota huyo kikosini hapo baada ya kukabidhiwa rungu la kukinoa kikosi hicho. Kwake Bale anaonekana kwamba kama ataamua …