Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema, Chelsea imezungumza na ajenti wa mshambuliaji wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Poland Robert Lewandowski, 32, kuhusu uwezekano wa kuhamia Stamford Bridge. Tetesi zinasema, Arsenal …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Tetesi zinasema, Chelsea imezungumza na ajenti wa mshambuliaji wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Poland Robert Lewandowski, 32, kuhusu uwezekano wa kuhamia Stamford Bridge. Tetesi zinasema, Arsenal …
Msimu wa soka umekamilika sasa, mazungumzo tayari yamegeukia kwenye Ballon d’Or, na wagombea kadhaa wanaibuka wakati wa msimu huu wa Copa America na Mashindano ya Ulaya. Lakini ni nani wanaoongoza? …
Arsene Wenger ameunga mkono mipango ya Kombe la Dunia kuandaliwa kila baada ya miaka miwili, akisisitiza “ni kile mashabiki wanachotaka”. Ushindani huo hufanyika kila baada ya miaka minne na inapaswa …
Tetesi zinasema, Jadon Sancho, 21, atakuwa ndiye mchezaji wa pili atakayelipwa zaidi Manchester United, nyuma ya mlinda lango David de Gea, iwapo atakamilisha uhamisho wake kutoka Borussia Dortmund msimu …
Vigezo vifuatavyo vimetumika kulinganisha ubora wa wachezaji hawa katika msimu wa 2020/21 tu: -Magoli yaliyofungwa -Magoli katika kila mchezo -Magoli ndani ya dakika 90 -Mchango wao kwa ujumla (usaidizi …
Tetesi zinasema Chelsea imewasiliana na Bayern Munich kuhusu uhamisho wa mshambuliaji wa Poland Robert Lewandowski , lakini klabu hiyo ya ligi ya Premia inakabiliwa na changamoto kuu ya ushindani …
Tetesi zinasema Chelsea na Manchester City wanataka kumsajili mshambuliaji wa Poland Robert Lewandowski, 32, kutoka Bayern Munich. Mshambuliaji wa Brazil Neymar, 29, ameongeza mkataba wa muda wake Paris St-Germain Jana …
Edinson Cavani wa Manchester United anapaswa kuwa fiti licha ya kutolewa kwenye mchezo wa katikati ya wiki kutokana na jeraha la kifundo cha mguu. Kiungo Paul Pogba huenda akarudi baada …
EA Sports imetangaza rasmi Timu ya FIFA ya Mwaka 21 – na kwa mara ya kwanza kabisa, hakuna nafasi kwa Lionel Messi. Wapenzi wa Cristiano Ronaldo, Robert Lewandowski na Kevin …
Tetesi zinasema Manchester United imemuongeza mlinzi wa Brighton Ben White kwenye orodha ya wachezaji wa beki wa kati wanaowataka. Paris St-Germain wanajiandaa kwa uhamisho wa mkopo mwezi Januari wa kiungo …
Cristiano Ronaldo ameteuliwa katika timu ya Wanaume ya Mwaka ya UEFA kwa mwaka wa 17 mfululizo lakini haishangazi ni washindi wa Ligi ya Mabingwa Bayern Munich ambao wanatawala. UEFA ilitangaza …
Hansi Flick amemuelezea mlinda mlango wa Bayern Munich Manuel Neuer kama “Mtaalamu” baada ya kuonesha kiwango kikubwa siku ya Jumatano katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Salzburg kwenye michuano ya …
Nyota Borussia Dortmund Erling Haaland ametuzwa tuzo ya Golden Boy mwaka 2020 Tuzo hutolewa na gazeti la nchini Italia Tuttosport na mwaka uliyopita ilichukuliwa na nyota wa Atletico Madrid Joao …
Bosi wa timu ya taifa ya USA, Gregg Berhalter, amekitaja kikosi cha watu 24 kwaajili ya michezo ya kirafiki dhidi ya Wales na Panama. Kiungo wa Borussia Dortmund Giovanni Reyna, …
Erling Haaland, Jadon Sancho na Ansu Fati wametokea kwenye majina 20 yaliyotajwa kuwania tuzo ya Golden Boy 2020. Tuzo hizo zimeandaliwa na gazeti la nchini Italia Tuttosport na Joao Felix …
Nahodha wa timu ya Borussia Dortmund,Marco Reus amefurahi kwamba Jadon Sancho ataendelea kusalia Dortmund kwa msimu mmoja zaidi, wakati Manchester United ikionekana kusanda katika harakati za kumnasa kiungo mshambuliaji huyo. …
Msimu mpya wa Bundesliga umeanza kwa namna yake. Schalke hawajawa na bahati, wakati Bayern Munich wakianza kwa kuwika katika uwanja uliokosa mashabiki! Bingwa mtetezi Bayern Munich amempa kichapo cha aibu …
Lionel Messi amekuwa kinara wa wachezaji wa soka wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani, kwa mujibu wa jarida la Forbes. Malipo ya Messi, yamemfanya kuwa mchezaji ambaye analipwa pesa nyingi kuliko …
Mshauri wa Neymar Jr – Wagner amesisitiza winga huyo hatoondoka PSG msimu huu kama watu wengi anavyodhani kwamba ni muda sahihi kurudi Barca. Kufuatia msimu mbaya kwa timu ya Barcelona, …
Hansi Flick anaamini Serge Gnabry anakaribia kuwa mchezaji mwenye hadhi kubwa baada ya mshambuliaji huyo kufunga magoli mawili kwenye mchezo wa nusu fainali Bayern Munich walipokutana na Lyon siku ya …