Galtier: “Mbappe Ana Furaha Hapa PSG”
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier alisisitiza kwamba Kylian Mbappe ana furaha akiwa Paris Saint-Germain, ingawa alikiri mustakabali wa Lionel Messi na wababe hao wa Ufaransa haujaamuliwa. Mbappe ndiye …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier alisisitiza kwamba Kylian Mbappe ana furaha akiwa Paris Saint-Germain, ingawa alikiri mustakabali wa Lionel Messi na wababe hao wa Ufaransa haujaamuliwa. Mbappe ndiye …
Mchezaji wa Manchester United Cristiano Ronaldo amekiri kuwa alikaribia kujiunga na Manchester City mnamo 2021 kabla ya kuamua kurejea katika klabu ya zamani Manchester United. Ronaldo alikuwa akiondoka Juventus, …
Cristiano Ronaldo amefanya mazungumzo na Bayern Munich huku akipanga kuondoka Manchester United katika dirisha la usajili la Januari. Katika mahojiano na Piers Morgan, Ronaldo alidai kuwa anahisi kusalitiwa kwa sababu …
Aliyekuwa kocha wa zamani wa PSG, Mauricio Pochettino anataka kazi yake inayofuata ya ukocha iwe na klabu yenye uwezo wa kushinda Ligi ya Mabingwa baada ya uzoefu wake wa kufanya …
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier amesema kuwa Kylian Mbappe alikabiliwa na uchovu wa misuli katika ushindi wa Paris Saint-Germain dhidi ya Lorient, na kocha huyo ameondoa hofu juu ya …
Aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Psg na sasa AC Milan Zlatan Ibrahimovic anaamini kuwa soka la Ufaransa linaporomoka bila yeye kuwepo huku akisema kuwa hata uwepo wa Kylian Mbappe, Lionel …
Erling Haaland ana kifungu cha kutolewa cha paundi milioni 175 ambacho kinatumika tu kwa timu zilizo nje ya Ligi ya Uingereza, ripoti zimedai. Meridianbet Sport ilifichua wiki iliyopita kwamba staa …
Klabu ya PSG wanaripotiwa kuwa wapo tayari kutoa kiasi cha Euro milioni 150 katika kandarasi ya kumpata mshambuliaji Rafael Leao anaekipiga katika klabu ya AC Milan. Leao mwenye umri …
EA Sports wametangaza majina makubwa ambayo yatakuwa na kiwango kikubwa cha ubora ambao watakuwepo kwenye michezo yao ya kieletroniki kwa kwenye FIFA 23 lakini hakuna mchezaji kutoka ligi ya Seria …
Presnel Kimpembe ambaye ni beki wa kati wa klabu ya PSG na timu ya Ufaransa yupo mbioni kukaa nje ya uwanja baada ya kuumia msuli wa paja katika mchezo wao …
Beki wa kushoto wa kimataifa wa Ureno Nuno Mendes amesaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Paris Saint-Germain kwa kutumia kipengele cha kumnunua katika mkataba wa mkopo walikuwa nao …
Paris Saint-Germain -PSG italazimika kuingia dimbani bila Neymar aliyesimamishwa kwenye mechi ya Jumatano ya Ligue 1 dhidi ya Angers kwenye Uwanja wa Raymond Kopa. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil …
Paris Saint-Germain ilikubali kipigo cha bao 3 bila majibu kutoka Monaco siku ya Jumapili mchezo wa Ligue 1 PSG ilionekana kuzembea na kutojali kwa kushindwa kuondoka na alama tatu wakicheza …
Mshindi wa taji la Ballon d’Or kwa mwanasoka bora wa kiume na wa kike duniani sasa ataamuliwa kutokana na matokeo yake katika msimu mmoja badala ya kalenda ya mwaka …
Klabu ya Paris Saint-Germain imepata wasiwasi kwa mchezaji wao Neymar kwamba huenda mshambuliaji huyo akaukosa mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madrid sababu ya kusumbuliwa na jeraha. Jeraha …
Real Madrid wanaripotiwa kushawishika kuwa watashinda mbio za kuwania saini ya Kylian Mbappe hapo 2022. Mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain anatazamiwa kuwa mchezaji huru mwishoni mwa kampeni ya sasa, huku …
Sergio Ramos Anajandaa kucheza mchezo wake wa kwanza na klabu ya Paris Saint-Germain baada ya kutajwa katika kikosi kitakacho menyana na Manchester City siku ya Jumatano katika mchezo wa Ligi …
Paris Saint-Germain inajiandaa kumenyana na mabingwa watetezi wa Ligue 1, Lille bila Kylian Mbappe, baada ya fowadi huyo wa Ufaransa kuondolewa rasmi kutokana na maambukizi ya sikio, pua na koo …
Katika dirisha la usajili lililohitimishwa mwezi wa tisa Kylian Mbappe alionyesha kutotaka kuendelea kubaki Paris Saint-Germain na alikuwa akitaka kwenda Real Madrid ambapo iko wazi ataondoka kama mchezaji wa bure. …
Zikiwa zimesalia takribani siku mbili dirisha la usajili kufungwa Kylian Mbappe bado yupo kwenye matumizi kwa Paris Saint-Germain na amejumuishwa kwenye kikosi kitakacho kabiliana na Reims Siku ya Jumapili katika …