This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Kiungo Mpya wa Yanga akomaa na Saidoo
KIUNGO mpya wa Yanga Gael Bigirimana raia wa Burundi amesema kuwa amezungumza kwa ukaribu na aliyekuwa winga wa timu hiyo Saido Ntibazonkiza na kumuelezea kila kitu kuhusu Yanga huku akiweka …
Simba Yashusha Kifaa kutoka Ghana
WAKITARAJIA kuingia kambini, Simba wameendelea kushusha vifaa ambapo wamemtambulisha rasmi, Augustine Okrah raia wa Ghana. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Simba imeeleza kuwa “Mchezaji mkubwa mwenye hadhi ya kucheza timu …
Lomalisa Ameanza Vitisho Huko Jangwani
Baada tu ya kutambulishwa ndani ya Yanga, Beki Joyce Lomalisa Mutambala amekiri kuwa amekuja ndani ya Yanga kupiga kazi na wala so kuuza sura kwa kuwa anajua nini anatakiwa kufanya …
Erik Ten Hag Aanza na Ushindi wa Kishindo
Kocha mpya wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag kwenye mchezo wake wa kwanza katika benchi la timu hiyo ameshuudia ushindi mkubwa dhidi ya klabu ya Liverpool wa magoli …
Beki Simba, Singida Big Stars Mambo Safi
PENGINE muda wowote beki wa kushoto wa Simba Gadiel Michale atatambulishwa kuwa mchezaji wa Singida Big Stars kwa mkopo wa mwaka mmoja kwa mujibu wa taarifa za mmoja wa viongozi …
Msuva: Eng. Hersi Alinishauri Kuhusu Kesi Yangu
Mshambuliaji nyota wa Taifa Stars Simon Msuva ameeleza kuwa amekuwa akizungumza mambo mengi na Rais wa Klabu ya Yanga Eng. Hersi n ahata kuhusu kesi yake wakati ipo FIFA na …
Morrison: Yanga Nipokeeni Mtoto Wenu Nimerudi Nyumbani
KIUNGO mwenye vituko vingi nje ya uwanja Bernad Morrison amefunguka kwa mara ya kwanza tangu aliposajiliwa na Yanga na kubwa zaidi akiwataka wanayanga wampokee kwa kuwa amerudi nyumbani. Bernad ‘BM3gh’ …
Kagera Sugar Wapata Mbadala wa Kapama
BAADA ya kuachana na wachezaji wao tisa, Uongozi wa Kagera Sugar umefunguka kuwa hawaathiriki na uamuzi huo kwani tayari wamepata wachezaji watakaochukua nafasi hizo kwenye kikosi. Mara baada ya kumalizika …
Polisi Wamng’ang’ania Metacha
BAADA ya Metacha Mnata kutambulishwa na Singida Big Stars, Uongozi wa Polisi Tanzania umefunguka kuwa kipa huyo bado ana mkataba wa mwaka mmoja na klabu hiyo. Metacha alitambulishwa na klabu …
Azam Wamfuata Kipa Ulaya
UONGOZI wa Azam FC umefunguka kumsajili kipa kutoka Ulaya ambaye anakuja kurithi nafasi ya Mathias Kigonya aliyeachwa hivi karibuni. Akizungumzia usajili wao, Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’ …