Kiungo Mpya wa Yanga akomaa na Saidoo
SOKA LA BONGO

KIUNGO mpya wa Yanga Gael Bigirimana raia wa Burundi amesema kuwa amezungumza kwa ukaribu na aliyekuwa winga wa timu hiyo Saido Ntibazonkiza na kumuelezea kila kitu kuhusu Yanga huku akiweka …

Soma zaidi
Simba Yashusha Kifaa kutoka Ghana
SOKA LA BONGO

WAKITARAJIA kuingia kambini, Simba wameendelea kushusha vifaa ambapo wamemtambulisha rasmi, Augustine Okrah raia wa Ghana. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Simba imeeleza kuwa “Mchezaji mkubwa mwenye hadhi ya kucheza timu …

Soma zaidi
Lomalisa Ameanza Vitisho Huko Jangwani
Daily News

Baada tu ya kutambulishwa ndani ya Yanga, Beki Joyce Lomalisa Mutambala amekiri kuwa amekuja ndani ya Yanga kupiga kazi na wala so kuuza sura kwa kuwa anajua nini anatakiwa kufanya …

Soma zaidi
Erik Ten Hag Aanza na Ushindi wa Kishindo
Daily News

Kocha mpya wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag kwenye mchezo wake wa kwanza katika benchi la timu hiyo ameshuudia  ushindi mkubwa dhidi ya klabu ya Liverpool wa magoli …

Soma zaidi
Beki Simba, Singida Big Stars Mambo Safi
Simba SC

PENGINE muda wowote beki wa kushoto wa Simba Gadiel Michale atatambulishwa kuwa mchezaji wa Singida Big Stars kwa mkopo wa mwaka mmoja kwa mujibu wa taarifa za mmoja wa viongozi …

Soma zaidi
Msuva: Eng. Hersi Alinishauri Kuhusu Kesi Yangu
News

Mshambuliaji nyota wa Taifa Stars Simon Msuva ameeleza kuwa amekuwa akizungumza mambo mengi na Rais wa Klabu ya Yanga Eng. Hersi n ahata kuhusu kesi yake wakati ipo FIFA na …

Soma zaidi
Morrison: Yanga Nipokeeni Mtoto Wenu Nimerudi Nyumbani
SOKA LA BONGO

KIUNGO mwenye vituko vingi nje ya uwanja Bernad Morrison amefunguka kwa mara ya kwanza tangu aliposajiliwa na Yanga na kubwa zaidi akiwataka wanayanga wampokee kwa kuwa amerudi nyumbani. Bernad ‘BM3gh’ …

Soma zaidi
Kagera Sugar Wapata Mbadala wa Kapama
SOKA LA BONGO

BAADA ya kuachana na wachezaji wao tisa, Uongozi wa Kagera Sugar umefunguka kuwa hawaathiriki na uamuzi huo kwani tayari wamepata wachezaji watakaochukua nafasi hizo kwenye kikosi. Mara baada ya kumalizika …

Soma zaidi
Polisi Wamng’ang’ania Metacha
SOKA LA BONGO

BAADA ya Metacha Mnata kutambulishwa na Singida Big Stars, Uongozi wa Polisi Tanzania umefunguka kuwa kipa huyo bado ana mkataba wa mwaka mmoja na klabu hiyo. Metacha alitambulishwa na klabu …

Soma zaidi
Azam Wamfuata Kipa Ulaya
SOKA LA BONGO

UONGOZI wa Azam FC umefunguka kumsajili kipa kutoka Ulaya ambaye anakuja kurithi nafasi ya Mathias Kigonya aliyeachwa hivi karibuni. Akizungumzia usajili wao, Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’ …

Soma zaidi
1 2 3 816 817 818 819 820 821 822 2,037 2,038 2,039