Mkutano wa Maamuzi wa Kylian Mbappe na Al-Khelaifi
Wiki muhimu katika sakata la uhamisho ya Kylian Mbappe inaendelea, na mvutano karibu na hatma ya nyota huyo wa Ufaransa imekuwa juu zaidi kuliko hapo awali. Mbappe tayari ameweka wazi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Wiki muhimu katika sakata la uhamisho ya Kylian Mbappe inaendelea, na mvutano karibu na hatma ya nyota huyo wa Ufaransa imekuwa juu zaidi kuliko hapo awali. Mbappe tayari ameweka wazi …
Winga wa Paris Saint-Germain, Angel Di Maria amekiri kwamba huko Barcelona mshambuliaji Sergio Aguero anajisikia vibaya sana baada ya kuondoka kwa Lionel Messi ambaye alikuwa ni sababu kubwa ya yeye …
Paris Saint-Germain wanaripotiwa kuwa karibu na usajili wa Lionel Messi, bila shaka wababe hao wa Ufaransa watapoteza nia yao kwa Paul Pogba wa Manchester United. Baada ya tangazo la Barcelona …
Cristiano Ronaldo anafanya mashabiki wake kuendelea kubaki na maswali ya nini kinafauata kwake msimu huu wa joto, na mustakabali wake wa Juventus bado haujathibitishwa. Mreno huyo alimaliza kama mfungaji bora …
Nicolas Anelka alianza soka lake huko Paris Saint-Germain na, ingawa baadaye alirejea, aliondoka akiwa na umri mdogo kujaribu mwenyewe kwenye vilabu vikubwa. Hivi ndivyo mtu huyo wa miaka 42 amemtaka …
Chelsea wameripotiwa kushikilia nia ya kumsajili kiungo wa Barcelona Miralem Pjanic wakati wa usajili wa majira ya joto. Pjanic alijitahidi kwenye kampeni yake ya kwanza huko Camp Nou, akianza katika …
Umekuwa mwaka mgumu sana kwa Barcelona kwa suala zima la fedha, na klabu haijaficha jambo hili. Lakini, licha ya shida zao za kiuchumi, ndio klabu ambayo imesaini wachezaji wengi kwenye …
Klabu ya Tottenham tayari inafanya mazungumzo ya kumrejesha tena meneja wao wa zamani Mauricio Pochettino, ambaye kwa sasa anahudumu kama meneja kule Paris Saint-Germain. Kwa mujibu wa Skysport, Tottenham wamefikiria …
Staa Neymar wa Paris Saint-Germain amesema anataka kucheza na Christiano Ronaldo hali ya kuwa kumekuwa na uvumi wa Ronaldo kuondoka Juventus na kutua PSG. Ronaldo, ambaye alifikisha mabao 100 kwa …
Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar Jr. amesimamisha mazungumzo yake ya kuongezea mkataba na klabu hiyo, kwani anaanza kufikiria kwamba Lionel Messi atabaki Barcelona. Mchezaji huyo wa miaka 29 amekuwa …
Mshambuliaji wa Manchester City Sergio Aguero ameripotiwa kuwaumiza vichwa Barcelona, Juventus na Paris Saint-Germain, ambao wanatajwa kuiwinda saini yake. Mchezaji huyo wa zamani wa Atletico Madrid anatarajia kumaliza muda wake …
Barcelona wanahusishwa na uhamisho wa nyota wa Manchester City na Argentina Sergio Aguero kwa mujibu wa vyanzo vya habari za michezo kutoka Uingereza. Mkataba wa nyota huyu kwa sasa na …
Cristiano Ronaldo ameteuliwa katika timu ya Wanaume ya Mwaka ya UEFA kwa mwaka wa 17 mfululizo lakini haishangazi ni washindi wa Ligi ya Mabingwa Bayern Munich ambao wanatawala. UEFA ilitangaza …
Legendari wa Real Madrid José María Gutiérrez Hernández, maarufu kama Guti, amesema angekuwa yeye angewasaini mastaa wa Paris Saint-Germain, Neymar na Kylian Mbappe kwa Real Madrid, huku akimtania Antoine Griezmann …
Nyota wa Lyon Memphis Depay amekiri kwamba anaweza kuviwazia vilabu vikubwa pekee hali ya kuwa anauhusishwa kuhamia Barcelona. Depay mwenye umri wa miaka 26, amekuwa akihusishwa na kujiunga na klabu …
Kingsley Coman amesema atawashauri wachezaji wenzake wa Bayern Munich namna ya kumzuia nyota wa Paris Saint-Germain Kylian Mbappe siku ya fainali ya Champions League. Mbappe alikuwa akisumbuliwa na jeraha la …
Ansu Fati ni mzaliwa wa Guinea – Bissau anaye kipiga kwenye timu ya Barcelona ni mshambuliaji wa pembeni anaye tumia vyema mguu wake wa kushoto, amekuzwa na kulelewa katika kituo …
Pamoja na ubora wa Mbappe na msaada wake mkubwa katika timu ya taifa na klabu ya Paris Saint-Germain, imekuwa ngumu sana kuharibu rekodi iliyowekwa na mchezaji nguli wa taifa la …
Kuwa mchezaji mkubwa na anaekubalika na kila klabu ni ndoto ya kila mchezaji; nyota wengi hutamani nafasi hiyo adhimu ya kuweza kuwika na angalau kulipwa mshahara mkubwa ambao utaweza kuwa …
Kama ilivyo kawaida unapomalizika msimu wa ligi lazima kuna nyota ambao huweza kuonekana kuwa wamefanya vizuri zaidi kwenye mchezo fulani ndani ya msimu huo. Hii huweza kuhusisha ligi zote kubwa …