This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
WAZIR JUNIOR KWENYE VIATU VYA BOCCO
INAAMINIKA na ipo wazi John Bocco kuwa ndiye mshambuliaji mzawa bora kwenye Ligi Kuu Bara Kwa takribani miaka 10 mfululizo akifunga zaidi ya mabao 100, Huku Wazir Junior akijaribu kufukuzia …
AZIZ KI KWENYE UBORA WAKE
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Aziz KI kasi yake ya kucheka na nyavu imezidi kuwa bora akizipa tabbu nyavu kwenye mechi ambazo anacheza ndani ya uwanja msimu wa 2023/24. Tayari amefunga …
Liverpool Wako Tayari Kugonga Hodi Bayern Kwaajili ya Musiala
Liverpool wanapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich na Ujerumani Jamal Musiala kwenye dirisha lijalo la usajili. Kiungo huyo mshambuliaji mwenye miaka 21, alitumia takriban muongo mmoja wa utoto wake katika …
Rugani Akubali Mkataba Mpya na Juventus
Juventus wanakamilisha maelezo ya mkataba mpya wa Daniele Rugani kufuatia mkutano kati ya klabu hiyo na wakala wake Davide Torchia wiki hii. Beki huyo wa kati wa Kiitaliano mwenye umri …
Wakala wa Tomori Aionya Milan Kama Kukiwa na Nia ya Bayern Munich
Viktor Kolar, wakala wa Fikayo Tomori, alitoa onyo kwa Milan kufuatia shauku ya hivi majuzi kutoka kwa Bayern Munich, akiangazia uwezekano wa mteja wake kupiga hatua mbele. Beki huyo wa …
KINAWAKA TENA LIGI KUU LEO SINGIDA NA NAMUNGO
Machi 16 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea ambapo kutakuwa na dakika 90 za jasho kwa wanaume kusaka pointi tatu ndani ya uwanja Singida dhidi ya Namungo. Saa 10:00 jioni, Singida …
WAZIRI JUNIOR KWENYE VIATU VYA JOHN BOCCO
Inaaminika na ipo wazi John Bocco kuwa ndiye mshambuliaji mzawa bora kwenye Ligi Kuu Bara Kwa takribani miaka 10 mfululizo akifunga zaidi ya mabao 100. Bocco ameweka rekodi hiyo akiwa …
AZIZI KI YUPO KWENYE UBORA WAKE
Kiungo mshambuliaji wa Yanga Azizi KI kasi yake ya kucheka na nyavu imezidi kuwa bora akizipa tabbu nyavu kwenye mechi ambazo anacheza ndani ya uwanja msimu wa 2023/24. Tayari amefunga …
Immobile Kuchukua Hatua za Kisheria Baada ya Tukio la Nje ya Shule ya Mwanawe
Nahodha wa Lazio Ciro Immobile anaripotiwa kujiandaa kuchukua hatua za kisheria baada ya yeye na familia yake kulengwa ‘kwa maneno’ nje ya shule ya mwanawe kulingana na ripoti nchini Italia. …
Osimhen Hatiani Kuikosa Mechi ya Inter
Napoli inafichua kuwa Victor Osimhen alifanya mazoezi kando siku ya Ijumaa kutokana na jeraha la misuli aliyopata Jumanne katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Barcelona. Osimhen ana hatari …