Australia, timu ya taifa ya rugby ya australia inayotambulika ka Wallabies imeendelea kutumumia vyema kiwanja chake cha nyumbani kwa kuifunga timu ya taifa south afrika.
Quade Cooper ambaye alifunga penati ya mwisho iliyowapa ushindi Wallabies nakuendeleza ushindi wao kwenye ardhi ya nyumbani dhidi ya mabingwa wa dunia.
Cooper, ambaye mara mwisho kuonekana mwaka 2017 dhidi ya Italy katika mechi ya kimataifa mwezi uliopita, Cooper mwenye umri wa miaka 33 aliibuka shujaa kwa kujikusanyia point 23 na kuihakikishia Wallabies ushindi.
Mapema New Zealand waliwachapa Β Argentina na kujihakikishia nafasi ya juu ya msimamo.
TIMU
South Africa:Β le Roux, Nkosi, Am, de Allende, Mapimpi, Pollard, de Klerk, Kitshoff, Mbonambi, Malherbe, Etzebeth, De Jager, Kolisi, Mostert, Vermeulen.
Waliongia: Marx, Nche, Koch, van Staden, Smith, Wiese, H. Jantjies, Willemse.
Australia:Β Banks, Kellaway, Ikitau, Kerevi, Koroibete, Cooper, McDermott, Bell, Fainga’a, Alaalatoa, Rodda, Philip, Swinton, Hooper, Valetini.
Waliongia: Kaitu’u, Slipper, Tupou, Leota, Samu, White, Hodge, Petaia.
Mwamuzi: Luke Pearce (RFU).
Meridianbet inakuletea ushindi kwenye kiganjani kwako, unafurahia radha halisi ya burudani ya kasino mtandaoni na tabasamu la ushindi.