- matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Lavia Arejea Mazoezini Chelsea

Daily News

Kiungo wa kimataifa wa Ubelgiji anayekipiga ndani ya klabu ya Chelsea Romeo Lavia inaelezwa amerejea kwenye kikosi cha klabu hiyo ambapo alikua anasumbuliwa na majeraha wiki kadhaa nyuma. Lavia amekua …

Chelsea Yatoa Kipigo kizito

Daily News

Baada ya kupokea kichapo kwenye mchezo wa kwanza wa ligi kuu ya Uingereza leo klabu ya Chelsea imetoa adhabu kali kwa klabu ya Wolverhampton baada ya kuichabanga kwa mabao sita …

Sterling Kutimka Chelsea

Daily News

Taarifa kutoka ndani ya Chelsea zinaeleza kua winga wa klabu hiyo Raheem Sterling yuko mbioni kutimka ndani ya klabu hiyo baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa misimu miwili. Winga Sterling …

Chelsea Wamalizana na Neto

Daily News

Klabu ya Chelsea sasa wamefanikiwa kukamilisha usajili wa winga wa kimataifa wa Ureno Pedro Neto ambaye alikua anakipiga katika klabu ya Wolverhampton Wanderers. Chelsea wametumia kiasi cha Euro milioni 60 …

Chelsea Inaweza Kumsajili Osimhen Pia

Daily News

Telegraph Sport wanadai Chelsea bado wanaweza kumsajili Victor Osimhen kutoka Napoli pamoja na Samu Omorodion wa Atletico Madrid, wakimtoa Romelu Lukaku kwa Antonio Conte, lakini PSG bado wamo. Kuna ripoti …

1 2 3 4 183 184 185
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.