Paulo Dybala atazikosa mechi muhimu za Juventus za mwezi Januari dhidi ya Inter na Napoli, huku kukiwa na changamoto za kupata mbadala wake kutoka kikosi cha vijana wa U23 kwa sababu kikosi sasa kiko karantini baada ya visa vitatu za maambuzizi ya virusi vya corona.
Dybala alipata jeraha la goti kwenye mechi dhidi ya Sassuolo Jumapili, na taarifa ya kitabibu inaonekana bado ana shida kidogo kumkwamisha kuingia dimbani.
Staa huyu wa Argentina anatarajiwa kuwa atakuwa nje ya dimba kwa takribani siku 15 hadi 20, ikiwa inamaanisha kuwa nyota huyu atalazimika kuzikosa mechi dhidi ya Inter na Napoli.
Juventus wanasafiri kwenda Giuseppe Meazza kwenye mechi dhidi ya Nerazurri, wakati watakutana na Napoli pale Reggio Emilia dimba la Mapei Stadium kwenye mechi ya fainali ya Italian Supercup Januari 20.
Dybala ataendelea kuuguza jeraha lake na kwa mujibu wa taarifa za kitabibu anaweza kuanza kurejea hali yake taratibu angalau baada ya siku kumi na tano.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
Magdalena
Duh pole yake
Rahmal
Aisee pole sana
Caroline
Pole Dyabala.
Gabriel
Pengo kubwa sana
Sania
Pole sana Dyabala
Salma ngende
Pole yake
Shakila mrope
Pole yake
Hopemwaikuka
Sorry for you
Dorophina
Pole yake dyabala
Janeflora malisa
Dah
aisha
Pole yake
Ernest Kimeru
Majeraha yanamtesa sana Dybala
Saupha mohamed
Pole sana
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yake
Sarah
Pole yake
Sabrina
Pole yake
warda
pole yake