Inter Miami Yampigia Mahesabu Ashley Young

Taarifa zinasema kuwa, winga pamoja mlinzi wa timu ya Inter Milan Ashley Young mwenye umri wa miaka 25 yupo kwenye hesabu ya Inter Miami.

Beki huyo ambaye amewahi kucheza pia ndani ya Klabu ya Manchester United na kushinda taji la Serie A akiwa chini ya Kocha Mkuu, Antonio Conte jambo ambalo linaikuza thamani yake.

Inter Miami

Kutokana na uwezo wa nyota huyo, anatajwa kuiacha timu yake msimu utakapomeguka kwa sababu mkataba wake utakuwa umefika ukingoni.

Inter Miami  inayomilikiwa na nyota wa zamani wa Manchester United,  David Beckham, Marcelo Claure, Jorge Mas ipo tayari kushindana na Watford ili kupata saini ya nyota huyo.

Young aliwahi kucheza ndani ya Watford msimu wa 2003/2007 na alicheza jumla ya mechi 110 kabla ya kujiunga na Aston Villa kwa dau la euro milioni 9.65 msimu wa 2007.


TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO

Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!

SOMA ZAIDI

10 Komentara

    Young bado kiwango anacho

    Jibu

    Jamaa yuko vizuri sana

    Jibu

    Mchezaj mahiri awapo uwanjan

    Jibu

    Ashley bado imara

    Jibu

    Bado yuko vizuri

    Jibu

    Kijana yupo makini

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Safi Sana

    Jibu

    Inter Miami inayomilikiwa na nyota wa zamani wa Manchester United, David Beckham, Marcelo Claure, Jorge Mas ipo tayari kushindana na Watford ili kupata saini ya nyota huyo.

    Jibu

Acha ujumbe