Mkanganyiko Juu ya Adhabu ya Rabiot

Kumekuwa na mkanganyiko juu ya Adhabu aliyopewa Adrien Rabiot ya kufungiwa mechi baada ya Napoli kushinda rufaa yao ya ushindi wa mezani.

Rabiot alipaswa kuikosa mechi dhidi ya Napoli ambayo ilikuwa ni adhabu ya wiki ya 3 ya mechi, Oktoba 4. Kwa kuwa Juventus walipewa ushindi wa mezani wa bao 3-0 huku Napoli wakipokonywa pointi, Rabiot alihesabiwa tayari alikuwa amemaliza adhabu yake aliyopaswa kuitumikia siku hiyo.

Hata hivyo, baada ya Napoli kukata rufaa na kushinda rufaa yao, na mechi dhidi ya Juventus kutakiwa kurudiwa Rabiot anatakiwa kutumikia adhabu yake.

adrien rabiot juventus

Kwa mujibu wa Juventus, klabu iliamua kumuacha kwenye mechi dhidi ya Fiorentina ya Jumanne, ikiwa ni siku amabayo hukumu ya rufaa ya Juventus ilitoka. Sababu ya kuachwa ikihusishwa na adhabu aliyopaswa kuitumikia.

 Hata hivyo, kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, wametaja kuwa adhabu hii inapaswa kutumikiwa na nyota huyo kuanzia siku inayofuata ya hukumu kutolewa. Hii ikimaanisha kuwa bado Rabiot atapaswa kuikosa mechi inayofuata dhidi ya Udinese mwezi Januari.

Kama suala hili litapewa uzito kwa upande huu, basi ataikosa pia mechi ijayo Januari.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

10 Komentara

    Duu sio poa

    Jibu

    Wakae chini waongoee ili waendelee na maisha mengine

    Jibu

    wamemfungia mechi nyingi jamani

    Jibu

    Ata cha kuchangia sijui mhh

    Jibu

    Mmhh kwa nini imekuwa ivyo

    Jibu

    Hii ni habari mbaya kwa Juventus

    Jibu

    Mhhh kazi iyoo

    Jibu

    Waangalie upya adhabu

    Jibu

    Cjaipenda hii

    Jibu

    Wawatafuti adhabu nyingine jamani

    Jibu

Acha ujumbe