Klabu ya Napoli wamethibitisha kuwa nyota wao Lolenzo Insigne amekuwepo mazoezini na kikosi cha Gennaro Gattuso wakati wakijandaa kuvaana na AZ Akmaar.
Napoli wameingia mazoezini kujiandaa na mechi yao ya Europa baada ya ushindi wa 4-1 dhidi ya Atalanta.
Bila shaka kwa mujibu wa ripoti hizi nyota huyu yuko fiti kuungana na kikosi cha Gattuso kutoka mechi yao ya Europa Wiki hii.
Insigne alipata jeraha kwenye mechi dhidi ya Genoa mwezi September, mechi ambayo Napoli walishinda kwa bao 6-0.
Kulikuwa na wasi wasi juu ya mda ambao nahodha huyu angeutumia kuuguza jeraha lake na kisha kurejea uwanjani. Lakini sasa anaripotiwa kuwa fiti akitoka kuuguza jeraha na anatarajiwa kuwa ataongeza kasi ya Kikosi.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
Povel
Habar njema kwa mashabik wa Napoli Kama hatakuwep nahodha wao katika mchezo Europa leage
aisha
Duuh napoli
Issa
Napolitan ilikua inakosa mtu muhim sehem ya kiungo mshambuliaj
Dorophina
Habari njema kwa napoli wamepata mtu muhimu
Hopemwaikuka
Ni habari nzur hii kuisikia
Mariam mtandama
Duuuh
Gabriel
Habar njema
Sabrina
Hapo mashabiki wa Napoli roho kwatu
Flomena
Nice
Amiri Kayera
Taarifa njema
Rehema
Good
magdalena
lolenzo yuko vizuri sana na ana kiwango kizuri katika mpira
Angelina
Goodnews
Caroline
Hii mechi si ya kukosa
Lydia Emmanuel Magoti
Niabari nzuri hii
warda
Ila Napoli wapo poa sana
Salma ngende
Habari njema
Shani
Moja ya mshambuliaj hatar napoli
Elika
Napol wamepata kifaa imara
Tatu
Napoli inakikosi kizuri kinachojitosheleza
Fatuma kasomo
Habari njema
Zeiyana
Napoli wapo vizuri wamesajiri wachezaji wengi sana wenye uwezo
Janeflora malisa
Hbr njm
farida ahmadi
Habari njema Sana
Sauda
Mashabiki wa Napoli wamefurahi sana
Mwajumah
Habari njema
Ernest
Insigne ni mchezaji hatari sana ni jambo zuri kama amerejea dimbani kuisaidia timu yake