Nyota wa Roma, Nicolò Zaniolo anasema kuwa anahesabu siku tu ili aweze kurejea dimbani. Zaniolo alikuwa na jeraha la goti lililomlazimu awepo nje ya uwanja.
Zaniolo anasema licha ya kusumbuliwa na jeraha baya la goti, hakuwahi kufikiria kuwa huu ndiyo uwe mwisho wa wakati wake katika soka.
Staa huyu alipata jeraha baya la goti kwen ye mechi ya kimataifa ya Italia, walivyocheza dhidi ya Holland kwenye Ligi ya Mataifa ya UEFA, ambayo Italia walishinda kwa 1-0.
Zaniolo anasema awali baada ya kupata jeraha hilo hakutaka kufirikia kitu chochote. Lakini, baadaye aliamua kupiga moyo konde na kusema lazima arejee dimbani, hawezi kukubali kushindwa.
“Nilishatambua kuwa kila kitu kitakuwa kigumu, lakini nahitaji kufikiria kama hii ni sehemu ya uzoefu unaonibadilisha.”
“Sikuwahi kufikiria kuhusu kushindwa, hata baada ya kujua kuwa imetokea tena, ninajilazimisha, hata kama kuna wakati nashindwa kujirejesha mchezoni. Tunaweza kusema ninamaliza magoti yangu, nimekuwa na bahati mbaya” -Nicolo Zaniolo
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Leonard
Hakuna kukata tamaa
Issa
Safi kwa kujiamin inaleta hamasa mchezoni
Mwajuma msangi
Mungu amsaidie apone mapema
warda
Majeraha yanawarudisha wachezaji nyuma#Meridianbettz
Furahav
Daah bora urudi dimbani.
Sadick
Nicolo Zaniolo na maneno ya kishujaa. Majeraha yamekuwa kikwazo kwa mafanikio ya wachezaji wengi hata wengine kulazimika kustaafu#meridianbettz
Magdalena
Karibu tena dimbani zaniolo
Khadija
karibu tena uwanjani#meridianbettz
Fatuma kasomo
Arudi dimbani tu
Faraja molell
Mungu Amjalie apone mapema
Venerose
Rudi tu
Amiri Kayera
Mung atamsaidia alud kweny pitch
aisha
Kila kitu ni kujiamini ili ushindi upatikane
Janeflora malisa
Mungu azidi kukupa nguv
Saupha mohamed
Mungu awasaidie wapone
Dorophina
Habari njema kwa zaniolo kurudi dimbani wachezaji wengi wanakwama kwa sababu ya majeraha ya mara kwa mara
Mwajumah
Safi kwa kujiamin inaleta amasa mchezoni#Meridianbettz
Sauda
Usikate tamaa
Elika
Tunakukaribisha kwa moyo wote karibu tena dimbani
Adelta
Karibu sana dimbani@meridianbettz
Fatina mfigi
Karibu
Lydia Emmanuel Magoti
Niabari nzuli Zaniolo kuludi dimbani
Caroline
Usikubali kushindwa
felister
Bora urudi
Povel
Get well soon
Theckla
Hakika namkumbuka namna anavyocheza Mungu amjalie apone na arudi uwanjani
Tatu
Bora uludi dimbani mashabiki tulikumic sana
rama
itakuwa vizuri sana
Rehema
Safi
Shafii
Itakua poa Sana.
lombo
rudi
Sabrina
Itapendeza zaid
Latifa juma mohamed
Worry out , soon utarejea dimbani.
Rose kapinga
Mungu ni mwemaa!!!
Gabriel
Majeraha yamekuwa kikwazo kwa mafanikio ya wachezaji wengi hata wengine kulazimika
Samiah
Safi
David Pere
Nicolo Zaniolo na maneno ya kishujaa. Majeraha yamekuwa kikwazo kwa mafanikio ya wachezaji wengi hata wengine kulazimika kustaafu