Baada ya kugombana uwanjani katika mchezo wa Coppa Italia, Mshambuliaji wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic na mshambuliaji wa Inter Milan, Romelu Lukaku – wamefungiwa mchezo mmoja.
Ibrahimovic amefungiwa mchezo mmoja baada ya kupatiwa kadi 2 za njano katika mchezo mmoja. Lukaku amefungiwa kwa sababu kadi ya njano aliyoipata kwenye mchezo huo, ilikuwa ni kadi yake ya 2 kwenye mashindano hayo msimu huu.
Ibrahimovic alikanusha kuwa alitumia maneno ya kibaguzi kwenye tukio lile, licha ya kwamba anafanyiwa uchunguzi katika kile kilichotokea.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, Ibrahimovic aliweka chapisho ililosomeka “kwenye dunia ya Zlatan, hakuna nafasi ya ubaguzi.”
Anayejaribu hawezi kutoka kapa Meridianbet! Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuhakikishia ushindi mkubwa kila unapojaribu kuingia mchezoni. Washindi hushindana, ingia mchezoni!
Ernest Kimeru
Vizuri na iwe fundisho kwa wachezaji wengine
Magdalena
Wamefanya vyema kuwapa adhabu ili wengine wajifunze kupitia wao
Hopemwaikuka
Safi sanaa
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa nifundisho kwa wengine nizamu itendeke
Adelta
Wamefanya vyema ili iwe fundisho
Khadija
Itakuwa fundisho kwa wengine
Dorophina
Dhaaa movic amekuwa mtu wa majanga tu kila siku
Sania
Wakajifunze nidhamu
samiah
Nidhamu mhm
Caroline
Pole yao
Sarah
Nidhamu kitu muhimu
Zahara Omary
Pole yao
Rahmal
Vizuri wajifunze kwa wengine
warda
pole yao