Mshambuliaji wa AC Milan – Zlatan Ibrahimovic amerejea tena uwanjani na sasa yupo tayari kuwavaa Inter katika mchezo wa Ligi Kuu Italia – Serie A.
Zlatan alikuwa nje ya uwanja baada ya kugundulika anamaambukizi ya virusi vya COVID19 na hajacheza tangu mwezi Septemba. Sasa anarejea tena uwanjani akiwa na afya njema. Kama bahati, anakutana na mchezo wa watani wa jadi – AC Milan vs Inter Milan jumamosi hii.
Japokuwa hajacheza kwa muda, mshambuliaji wa zamani wa Inter – Vieri, anaamini Zlatan anakiwango cha hali ya juu na atadhihirisha kwenye mchezo huo.
“Uzoefu wake sio kitu cha kutia shaka, anakila kitu. Ufundi wake, namna anavyoutazama mchezo, kufunga na kutoa pasi za magoli na kuifanya timu yake kucheza vizuri ni vitu vikubwa.
“Mtu aliyesema virusi vya corona sio kitu sahihi cha kumpa changamoto, ananguvu kubwa kiakili kuliko mtu yeyote. Anaweza kucheza huo mchezo akiwa na sigara mdomoni, niamini” alisema Vieri wakati akifanya mazungumzo na La Gazzetta dello Sport
Nani ataunza msimu mpya wa Serie A na ushindi dhidi ya mpinzani wake? Ni Zlatan au Lukaku? Hakika hii sio ya kukosa!!!
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.
David Pere
Uzoefu wake sio kitu cha kutia shaka, anakila kitu. Ufundi wake, namna anavyoutazama mchezo, kufunga na kutoa pasi za magoli na kuifanya timu yake kucheza vizuri ni vitu vikubwa.
Janeflora malisa
Safi sana
zeiyana
ni kweli ibrahimovic ni mkongwe katika soka korona haiwezi kumfanya hashuke kiwango chake katika
Mwanahamisi
Safi sana
Adelta
Sawa tunasubiri
Tahiya
Muhenga mwenye kiwango chake
Sauda
Afadhali amepona, tulimiss mbwembwe zake.
Caroline
Pole Sana Ibrahimovic.karibu uwanjani
magdalena
ibrahimovic yuko makini sana na katika soka ingawa umri unamtupa mkono
Saupha mohamed
Safi sana
Mwajumah
Safi sana
Fatina mfingi
Safii
Antony Luseno
Zaltan ni mchezaji mahiri sana ambaye ukimpa nafasi hafanyi kosa
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana Zaltan anaoneka yupo fiti ataupiga mpila
Ernest
Napenda kumuita Zlatan Mzee Baba, Huyu jamaa huwezi kumtofautisha na vijana wadogo kwenye Soka
felister
afadhali amepona
Tatu
Zaltani ni mchezaji mzuri sana naona amelejea kwa nguvu zote
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa Ac milan maana ni kiungo mzuri sana
Hopemwaikuka
Milan deby hapakalik
Gabriel
Safi sana
Povel
Milan derby mambo ni moto
Sabrina
Inapendeza
Issa
Tutaona ufundi mwing milan derby
aisha
Safi sana hapo